JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 408
Mhe Rais, Mhe Mwenyekiti wa Chama chetu.. nikushukuru sana sana kwa niaba ya Wanawake wote walikuwepo hapa.. lakini na Wanawake Watanzania kwa kuonyesha imani yako kwetu.”*
“Mhe Rais au Mhe Mwenyekiti. ulisema jana kwamba uliponiteua mara ya mwanzo, hukuwa na uhakika sana. Lakini miaka ilivyokwenda, ukaona huyu ndio Mama wa kwenda naye awamu ya pili. Lakini nataka nikwambie Mhe; Nguvu niliyoipata kufanya kazi na ukawa na imani ukaridhika nami niliipata kwa Wanawake hawa.. Wanawake wa chama cha Mapinduzi, lakini pia Wanawake wa Tanzania. Kubwa zaidi nguvu uliyotupa katika kutekeleza yale wanawake tuliyotarajia Elimu kwa watoto wetu, Afya nzuri kwetu sisi wenyewe wakina mama na watoto wetu kila mahali; Lakini pia kutushusha ndoo.”
“Kubwa zaidi Mheshimiwa, ni lile la kutuletea umeme mpaka manyumbani! Sasa Wanawake tuna wasaa mzuri sana wa kufanya mambo ya maendeleo kwa kuwa ugumu wa maisha umerahisishwa mambo yetu mengi. Mhe Rais huyu ameyapigania na tumeweza kutafanikisha kwa kiasi kikubwa.”
“Mheshimiwa Rais, nisiwe na maneno mengi; Kwa niaba ya Wanaweke wote wa Tanzania na Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, tukuahidi kwa mara nyingine tutakuwa bega kwa bega na wewe tutafanya kazi bila kuchoka ili kuipaisha Tanzania yetu.”
“Mwisho kabisa Mheshimiwa Rais nikupongeze kwa yote yaliyotimia katika kipindi hiki na nikupongeze kwa kuchaguliwa kwa kauli moja kuwa mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Asante sana Mhe.”- Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, Ikulu, CHAMWINO Makao Makuu.
“Mhe Rais au Mhe Mwenyekiti. ulisema jana kwamba uliponiteua mara ya mwanzo, hukuwa na uhakika sana. Lakini miaka ilivyokwenda, ukaona huyu ndio Mama wa kwenda naye awamu ya pili. Lakini nataka nikwambie Mhe; Nguvu niliyoipata kufanya kazi na ukawa na imani ukaridhika nami niliipata kwa Wanawake hawa.. Wanawake wa chama cha Mapinduzi, lakini pia Wanawake wa Tanzania. Kubwa zaidi nguvu uliyotupa katika kutekeleza yale wanawake tuliyotarajia Elimu kwa watoto wetu, Afya nzuri kwetu sisi wenyewe wakina mama na watoto wetu kila mahali; Lakini pia kutushusha ndoo.”
“Kubwa zaidi Mheshimiwa, ni lile la kutuletea umeme mpaka manyumbani! Sasa Wanawake tuna wasaa mzuri sana wa kufanya mambo ya maendeleo kwa kuwa ugumu wa maisha umerahisishwa mambo yetu mengi. Mhe Rais huyu ameyapigania na tumeweza kutafanikisha kwa kiasi kikubwa.”
“Mheshimiwa Rais, nisiwe na maneno mengi; Kwa niaba ya Wanaweke wote wa Tanzania na Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, tukuahidi kwa mara nyingine tutakuwa bega kwa bega na wewe tutafanya kazi bila kuchoka ili kuipaisha Tanzania yetu.”
“Mwisho kabisa Mheshimiwa Rais nikupongeze kwa yote yaliyotimia katika kipindi hiki na nikupongeze kwa kuchaguliwa kwa kauli moja kuwa mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Asante sana Mhe.”- Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, Ikulu, CHAMWINO Makao Makuu.