Makambo ni bonge la mchezaji!!

Makambo ni bonge la mchezaji!!

Arabi Nanjewa

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2017
Posts
325
Reaction score
411
Ni ukweli usiopingika huyu jamaa (makambo) ni mchezaji mzuri sana, naiona yanga bora iliyosajili kwa akili kubwa sana hasa kuongezeka kwa makambo, feisali, ngassa, kaseke na kindoki, hakika hawa jamaa wanaonyesha kiwango bora sana kunako dimba, muda utakua shahidi ila makambo namuona aking'ara sana msimu huu. Hakika timu pinzan na yanga zijiandae kisaikolojia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom