Nilivyomwelewa Yusufu Makamba, alipotoa neno lake alipotakiwa aseme neno la kuaga wakati wa kikao cha kuvuana magamba Dodoma: <Naenda kuwaandalia makao ili nilipo nanyi muwepo>.
- Si mimi peke yangu katika sakasaka hili wakuvuliwa gamba, tuliomagamba tuko wengi humu,mimi nimeanza nanyi mnafuata.
- Sikubali kuondoka peke yangu, wale wote tulioshiriki kuundika/ kuunda magamba, nitakuwa nanyi huko niendako.
- Chama cha Magamba si mimi tu niliyegamba, wote tunahusika kuanzia watendaji wa vitongoji/ serikali za mitaa, madiwani,wabunge, wakuu wa wilaya na mikoa tumedhihirisha magamba tuliyonayo kuanzia kwenye kura za maoni. Hivyo basi nilipo kinara wao, nao wapaswa kuwepo.