Mujwahuzia
Senior Member
- Nov 17, 2011
- 137
- 31
Hata kama Nape anakigeuza chama kama Taasisi yake ni wakati wake wake kufanya hivyo kwani Yushuph makamba haya ni matunda yako uliacha umeyatengeneza mwenyewe Je? wewe Makamba umesahau ulivyokuwa enzi yako ukiwa kama katibu mkuu wa CCm ulivyokuwa ukibwabwaja hovyo......... mpaka kwenye majimbo heshima yako ilianza kupotea toka Tarime kwenye uchaguzi mdogo hiyo ndiyo kwaheri umekwishaaaaaaaaaaaaaaa. zama zako zimeisha ni wakati wa Vijana makada wa chama chenu. mujwahuzia