Makamanda katika kubadilishana mawazo

Makamanda katika kubadilishana mawazo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,203
Reaction score
162,773
Kabla ya CC leo, fursa ya kuteta na wajumbe wenzangu mambo mbalimbali wakati wote inaleta furaha na matuini. Chadema ni tumaini kwa Watanzania.
D25eXUaW0AEVIhG.jpg


D25eXUYWsAAYysW.jpg

D25eXVGX4AAdKUF.jpg
 
People’s Powerrrrrrrrrrrrr

✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾

QUOTE="Salary Slip, post: 30927156, member: 84376"]Kabla ya CC leo, fursa ya kuteta na wajumbe wenzangu mambo mbalimbali wakati wote inaleta furaha na matuini. Chadema ni tumaini kwa Watanzania.
D25eXUaW0AEVIhG.jpg


D25eXUYWsAAYysW.jpg

D25eXVGX4AAdKUF.jpg
[/QUOTE]
 
People’s Powerrrrrrrrrrrrr

✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾

QUOTE="Salary Slip, post: 30927156, member: 84376"]Kabla ya CC leo, fursa ya kuteta na wajumbe wenzangu mambo mbalimbali wakati wote inaleta furaha na matuini. Chadema ni tumaini kwa Watanzania.
D25eXUaW0AEVIhG.jpg


D25eXUYWsAAYysW.jpg

D25eXVGX4AAdKUF.jpg
[/QUOTE]
Hawa makamanda nawakubali sana!
 
Ushauri wangu tu wa bure imalisheni kitengo chenu cha usalama, naona mnapigwa pigwa sana kirahisi. Naona hamna kuaminiana tena.

..kama mke/mume wa mtu anaweza kurubuniwa kwanini unashangaa mbunge akirubuniwa?

..hoja ya cdm kuwa na " intelligence " organ inanishangaza kidogo.

..nilidhani asasi za KIRAIA ikiwemo vyama vya siasa havihitaji kuwa na vikosi vya wanausalama.

..kwa upande mwingine, kama kuna chama /kikundi kinarubuni viongozi /wanachama wa chama kingine kwa fedha, au vitisho, suala hilo naamini linaangukia kwenye makosa ya JINAI na RUSHWA.

..katika mazingira hayo vyombo vya dola vinatakiwa viingilie kati na kukomesha mambo hayo.

..ushauri wangu kwa cdm ni wajiimarishe zaidi ili kwamba hata viongozi na wabunge wao wakirubuniwa wawe wepesi kuwa-replace bila ushawishi, ufanisi, na utendaji, wa chama kuathirika.

..kuna kipindi Gen.Ho Chi Min alipokuwa anapigana na Wamarekani ktk vita ya Vietnam alisema kwa kila askari wake mmoja anayeuawa anao askari kumi wa akiba. Kwa msingi huo Ho Chi Min alisema alikuwa na uhakika wa kuwashinda Wamarekani kwa asilimia 100.
 
Back
Top Bottom