PreGE2025 Makalla: Watanzania wameridhika na Utekelezaji wa Ilani, ushindi ni wa CCM

PreGE2025 Makalla: Watanzania wameridhika na Utekelezaji wa Ilani, ushindi ni wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema ushindi mkubwa wa CCM katika maeneo mbalimbali ni ushahidi wa wananchi kuridhishwa na utekelezaji mzuri wa ilani ya chama hicho, pamoja na miradi iliyotekelezwa na serikali yao.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wilayani Kilombero, mkoani Morogoro, Makalla alisema wananchi wameamua kwa hiari yao kuikabidhi CCM ushindi kwa sababu wanaona matokeo ya maendeleo katika maeneo yao, akisisitiza kuwa:

"Wamekipa ushindi Chama cha Mapinduzi kwa sababu wameridhika na utekelezaji mzuri wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM, wameridhika na miradi mbalimbali iliyofanywa katika maeneo yao nakuthibitisha hicho ndio maana wametuchagua tena kwa kura nyingi"

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima amesema tayari mashine za kudhibiti mafuriko zimeshanunuliwa kwa ajili ya kudhibiti tatizo la mafuriko katika Wilaya ya Kilombero.

 
Reforms zifanyike,ijulikane mbivu na mbichi.
 
1746441250648.png
 
Haah
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema ushindi mkubwa wa CCM katika maeneo mbalimbali ni ushahidi wa wananchi kuridhishwa na utekelezaji mzuri wa ilani ya chama hicho, pamoja na miradi iliyotekelezwa na serikali yao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wilayani Kilombero, mkoani Morogoro, Makalla alisema wananchi wameamua kwa hiari yao kuikabidhi CCM ushindi kwa sababu wanaona matokeo ya maendeleo katika maeneo yao, akisisitiza kuwa:

"Wamekipa ushindi Chama cha Mapinduzi kwa sababu wameridhika na utekelezaji mzuri wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM, wameridhika na miradi mbalimbali iliyofanywa katika maeneo yao nakuthibitisha hicho ndio maana wametuchagua tena kwa kura nyingi"

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima amesema tayari mashine za kudhibiti mafuriko zimeshanunuliwa kwa ajili ya kudhibiti tatizo la mafuriko katika Wilaya ya Kilombero.

Haahaa lini walimwambia hayo?
 
Haah
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema ushindi mkubwa wa CCM katika maeneo mbalimbali ni ushahidi wa wananchi kuridhishwa na utekelezaji mzuri wa ilani ya chama hicho, pamoja na miradi iliyotekelezwa na serikali yao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wilayani Kilombero, mkoani Morogoro, Makalla alisema wananchi wameamua kwa hiari yao kuikabidhi CCM ushindi kwa sababu wanaona matokeo ya maendeleo katika maeneo yao, akisisitiza kuwa:

"Wamekipa ushindi Chama cha Mapinduzi kwa sababu wameridhika na utekelezaji mzuri wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM, wameridhika na miradi mbalimbali iliyofanywa katika maeneo yao nakuthibitisha hicho ndio maana wametuchagua tena kwa kura nyingi"

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima amesema tayari mashine za kudhibiti mafuriko zimeshanunuliwa kwa ajili ya kudhibiti tatizo la mafuriko katika Wilaya ya Kilombero.

Haahaa lini walimwambia hayo?
 
Siwezi kushangaa watanzania wengi hawajui wanataka nini, wanajifanya kuchukia uhayawani wa mboga mboga lakini hawataki kuwaondoa kwenye madaraka
1733756378693.jpg
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema ushindi mkubwa wa CCM katika maeneo mbalimbali ni ushahidi wa wananchi kuridhishwa na utekelezaji mzuri wa ilani ya chama hicho, pamoja na miradi iliyotekelezwa na serikali yao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wilayani Kilombero, mkoani Morogoro, Makalla alisema wananchi wameamua kwa hiari yao kuikabidhi CCM ushindi kwa sababu wanaona matokeo ya maendeleo katika maeneo yao, akisisitiza kuwa:

"Wamekipa ushindi Chama cha Mapinduzi kwa sababu wameridhika na utekelezaji mzuri wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM, wameridhika na miradi mbalimbali iliyofanywa katika maeneo yao nakuthibitisha hicho ndio maana wametuchagua tena kwa kura nyingi"

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima amesema tayari mashine za kudhibiti mafuriko zimeshanunuliwa kwa ajili ya kudhibiti tatizo la mafuriko katika Wilaya ya Kilombero.

ukweli mtupu dah!

well done CPA Amos Makalla 🐒
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema ushindi mkubwa wa CCM katika maeneo mbalimbali ni ushahidi wa wananchi kuridhishwa na utekelezaji mzuri wa ilani ya chama hicho, pamoja na miradi iliyotekelezwa na serikali yao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wilayani Kilombero, mkoani Morogoro, Makalla alisema wananchi wameamua kwa hiari yao kuikabidhi CCM ushindi kwa sababu wanaona matokeo ya maendeleo katika maeneo yao, akisisitiza kuwa:

"Wamekipa ushindi Chama cha Mapinduzi kwa sababu wameridhika na utekelezaji mzuri wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM, wameridhika na miradi mbalimbali iliyofanywa katika maeneo yao nakuthibitisha hicho ndio maana wametuchagua tena kwa kura nyingi"

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima amesema tayari mashine za kudhibiti mafuriko zimeshanunuliwa kwa ajili ya kudhibiti tatizo la mafuriko katika Wilaya ya Kilombero.

Tufafanulie tamko la bunge la ulaya boss. Haswaaa kile cha ushoga.

Tunadhani kwenye ilani ya chama cha mapindizi hicho kipengele kinatekelezeka ipasavyo.

Huyu makala kuna siku wananchi watamshusha jukwani. Ana maneno ya shobo sana.
 
Habari za upinzani unakutana nazobjf tu, mtaani wananchi ni CCM tu
 
Back
Top Bottom