Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,429
Channel Ten- Saa 2.30 Usiku (Saa Mbili na Nusu Usiku) Leo hii Jumatano Tar 14/08/2024
Karibuni sana kutizama Makala maalum ya Maji ni Uhai- ambayo inaangaza kazi ambazo zinaendelea kufanyika katika Sekta ya Maji Wilayani Ludewa.
Karibuni mjionee kazi kubwa anayofanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania- Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuendelea kugusa maisha ya Watanzania haswa kupitia huduma ya Maji.
Lengo na dhamira ni kuhakikisha Watanzania wanapata Maji Safi, Salama na yenye Ubora na kutosheleza na kazi hiyo inaendelea Wilayani Ludewa.
#Ludewa #LudewaYetu
Karibuni sana kutizama Makala maalum ya Maji ni Uhai- ambayo inaangaza kazi ambazo zinaendelea kufanyika katika Sekta ya Maji Wilayani Ludewa.
Karibuni mjionee kazi kubwa anayofanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania- Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuendelea kugusa maisha ya Watanzania haswa kupitia huduma ya Maji.
Lengo na dhamira ni kuhakikisha Watanzania wanapata Maji Safi, Salama na yenye Ubora na kutosheleza na kazi hiyo inaendelea Wilayani Ludewa.
#Ludewa #LudewaYetu