Makahaba Wagonganisha Ma RPC Dar



Crytal Clear, Kenyela is right
 

Hata wateja wa ukahaba ni wavunjifu wa sheruia.
tanzania Penal Code
Chapter XV
Offences Against Morality
145. 1.A any male person -
(a) who knowningly lives wholy or part of earnings on prostitution; or
(b) in any public place persistently solicits or importunes for immoral purposes is guilt of misdemeanour. In the case of the second or subsequent conviction under this section the court may, in addition to any term of imprisonment awarded, sentence the offender to corprol punishment.
(2) Where a male person is proved to live with or to be habitually in the company of prostitute, or is proved to exercised, control, direction or influence over the movement of a prostitute in such manner as to show that he is aiding, abetting or compelling prostitution with any other, or generally, he shall unless satisfy the court contrary be deemed to be knowningly living on prostitution.
 
nimesoma maoni ya watu wengi na nimegundua watu wanachanganya mambo mawili;

- moja ni kama kitendo cha ukahaba ni kosa kisheria na mahakamani atashitakiwa kwa kosa gani?
- pili ushahidi wa mtu kufanya ukahaba ni utata.

kwa hoja ya kwanzai ukweli ni kuwa, ukahaba ni kosa la jinai kwa sheria ya kanuni ya adhabu ambayo baadhi yetu wametuwekea kifungu husika hapa hivyo sitapenda kukinukuu tena. jamabo jingine ni kuwa, sababu kosa tajwa ni jinai hivyo mtuhumiwa atafunguliwa shitaka la kufanya ukahaba.

kwa hoja ya pili kuthibitisha ya kuwa unayemkamata anafanya ukahaba mathalani kumkuta mwanamke amesimama nusu uchi barabarani usiku bila hata ya mwanaume kuwepo? katika hili ni vizuri tukaelewa kuwa polisi wanatakiwa kufanya uchunguzi katika moja ya majukumu yao mengi hivyo ni wajibu wa polisi kuhakikisha katika uchunguzi anaofanya ushahidi wa kutenda kosa unapatikana. kwa sababu hii mwenye jukumu la kouna ushaidi dhidi ya kosa itakuwa ni mahakama na sio polisi.

mtu anaweza kuuliza sasa kwanini umkamate mtu bila ya kuwa na ushaidi? jibu ni kuwa polisi wamepewa malaka ya kumkamata mtu yeyote amabaye anamuhisi kutenda kosa la jinai kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa makosa ya jina ya mwaka 1985 na marekebisho yake. kifungu kifuatacho kinahusika moja kwa moja

" 10.-(l) If from the information received or in any other way a police​
officer has reason to suspect the commission of an offence or to appre- hend a breach of the peace, he shall, where necessary, proceed in person to the spot to investigate the facts and circumstances of the case and to take such measures as may be necessary for the discovery and arrest of the offe.nder where the offence is one for which he may arrest without warrant.
 
All in all, kiondo hakupaswa kumkosoa mwenzie vile mbele ya media/jamii, hata kama sheria imekaaje. Lengo lake hasa ni lipi? Kujenga kubomoa, au ndio anawamotivate makahaba kwenda kufungua charge? Na bado ukahaba sio jambo la kubarikiwa, au wana mabiff yao akaona ndio mahali pa kumshusha level mwenzie? Akifanya jambo yeye na mwenzie nae akaja na stail hiyo atafurahi? Alikuwa na njia nyingi tu za kufikisha taarifa bila kuutangazia umma, kama alikuwa na nia njema lakini, otherwise na yeye kachemka.
 


Hii ndio Great thinking, badala ya utashi. Keep up kutufunza kuwa tunahitaji elimu ya jambo kabla ya kutowa maoni yetu.
 
ukweli ni kuwa kENYELA KACHEMKA SANA TUUU!

Kweli wewe ni Quick Reply. Wakati mwingine uwe unajua maudhui ya jambo linalojadiliwa. Kenyela hajakosea. Kama hakuna sheria ya kuzuia ukahaba, basi Kiondo aonyeshe sheria inayoruhusu!! Haipo. Ukabaha umezuiwa kwenye sheria ya uzururaji. Mwelezeni Kiondo aisome hiyo sheria. Ukahaba ni biashara kongwe kabisa duniani. Kwa nchi kama yetu ni lazima ikemewe hapa na pale, vinginevyo kila kona tutashuhudia watu wakifunuana ving'amuzi hadharani!! Hongera Kenyela.
 
Hii ndio Great thinking, badala ya utashi. Keep up kutufunza kuwa tunahitaji elimu ya jambo kabla ya kutowa maoni yetu.


Nashauri sheria hii iingie pale Mrina Annex, Arusha. Pale ukahaba ni kama kiumbe hai na hewa ya oksijeni. Vikitengana, hakuna uhai.
 
Kamanda wa Temeke anafaidi nini na biashara ya uchangudoa? kwanini anaingilia mambo ambayo siyo yake maana Kinondoni is not Temeke? Anataka amrithi Kamanda Kova? I wonder!!
 
Kwa mujibu wa sheria za makosa ya jinai za Tanzania ni hivi:

Tanzania Penal Code
Chapter XV
Offences Agaist Morality

Offenses against morality? Never knew morality could be legislated!
 
Hawa dada zetu walikuwepo tokea enzi na enzi, watakuwepo mpaka mwisho wa dunia, itumike tu hekima lakini kama ni magereza hilo sio suluhisho kabisa, kwani wateja wao ni akina nani ili wakamatwe wao peke yao!
 

Kama kweli hii sheria ipo basi guest house na hotel zilizonyingi hapa Tanzania zingefungwa kwani hutumika kwa ukahaba tu. SWALI LANGU. Hao wanaowanunua mbana hamuwakamati? au wao hawatendi makosa. Tuna n jia ndefu kuelekea kutokomeza mfumo dume.

Watu wote mnaona hawa wakina dada wamekosea sana lakini wanaoenda kuwatafuta hao akina dada wakiwemo waheshimiwa sana hamuoni kama wana kosa.

hata kama wanakamatwa kwa uzururaji kwani kuzurura ni usiku tu? mchana je, huwezi zurura
 
unaua mzee wa usafi
 

Hivi Dar es salaam kuna mikoa mingapi? Ilala pia ni mkoa? ni lini Kinondoni au Temeke imekuwa mikoa?
 
Safi sana waache wakabane wenyewe ili wapunguze kuwaua raia wasio na hatia. Lakini huyu Kenyela badala ya kudhibiti majambazi anawasumbua wadada wanaojitafutia ajira baada ya serikali kushindwa kuwaajiri? Angalia Vyuo vikuu wanafunzi wa kike wanajiuza wapate ada kwa kuwa bodi ya mikopo haiwapi fedha kwa wakati au haiwapi kabisa. Kwanza Dada poa hao wana wateja wengi tu wakubwa na hawana tatizo labda wachache wanaojihusisha na wizi. Haya Kenyela umewakamata hao wote utawaajiri wewe au unataka wafanye nini? Mbona wanaokeketa wanatafutiwa kazi nyingine sembuse hao wanaotumia miili yao bila kumdhuru Mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…