Kwa taarifa yako, ukahaba ni kosa kishria.
Tanzania Penal Code
CHAPTER XV
Ofences Agaist Morality.
146. Any woman who knowningly lives wholly or part of the woman earning of prostitution or who is proved to have, for the purpose of gain, exercised, control, direct or, influence other over the move for engaging in prostitute in such a manner as to show she is aiding, abetting or compelling her prostitution, with any person, is guilt of misdemeanour.
Mkuu asante kwa kutuletea hii sheria. Now the problem is, how do you prove beyond doubt that these ladies were actually exercising prostitution before the court of law? Na je sheria inasemaje kuhusu wateja wa hao wadada? Ili kitendo cha prostitution kikamilike, lazima awepo mwanamke na mwanamme. Je wanaume wanaowanunua hao wadada wao wanakosa au hapana?
Tiba
Kwa mujibu wa sheria za makosa ya jinai za Tanzania ni hivi:
Tanzania Penal Code
Chapter XV
Offences Agaist Morality
147. If it is appeal to the magistrate by information on power of oath that there is reason to suspect any house or part of a serch house is used by a woman for the puposes of prostitution, and that any person residing in or frequenting the house is knowningly living wholly or in part of the earnings are of the prostitute, or is exercising, control, direction of influence over the movement of the prostitute, the magistrate may issue a warrant authorising any poloce officer to enter and search the house and to arrest such person.
ukweli ni kuwa kENYELA KACHEMKA SANA TUUU!
Hii ndio Great thinking, badala ya utashi. Keep up kutufunza kuwa tunahitaji elimu ya jambo kabla ya kutowa maoni yetu.
Kwa mujibu wa sheria za makosa ya jinai za Tanzania ni hivi:
Tanzania Penal Code
Chapter XV
Offences Agaist Morality
Kwa mujibu wa sheria za makosa ya jinai za Tanzania ni hivi:
Tanzania Penal Code
Chapter XV
Offences Agaist Morality
147. If it is appeal to the magistrate by information on power of oath that there is reason to suspect any house or part of a serch house is used by a woman for the puposes of prostitution, and that any person residing in or frequenting the house is knowningly living wholly or in part of the earnings are of the prostitute, or is exercising, control, direction of influence over the movement of the prostitute, the magistrate may issue a warrant authorising any poloce officer to enter and search the house and to arrest such person.
Kama kweli hii sheria ipo basi guest house na hotel zilizonyingi hapa Tanzania zingefungwa kwani hutumika kwa ukahaba tu.
unaua mzee wa usafiKenyela anafanya mambo kwa sifa akitarajia labda neema ya U-IGP inaweza kumwangukia ila kwa suala la ukahaba ni gumu mno kulithibitisha kisheria. Mathalani Kenyela na kundi lake la ITV wali kwenda Mwananyamala kufanya msako wa makahaba. Pale kwenye vile vyumba walikamata baadhi ya wapangaji wa kike wakiwa peke yao kwenye vyumba. Sasa mahakamani uta thubitisha vipi kuwa wale ni makahaba? Na utawashitaki kwa kosa gani na kwa kipengele kipi cha sheria kilicho vunjwa?
Opersehsni kama hizo zilishafanywa huko nyuma sio kigezo cha kusema kuwa serikali/polisi walikuwa sahihi. Rejea kesi ya kumshitaki Mrema na sungusungu yake. Kila mtu alitii kulinda sungusungu pale jamaa mmoja wa Magomeni (kam sijakosea) alikataa kulinda Mrema aka amrisha akamatwe na kuwekwa lupango. Mahakamni jamaa alimweka Marando kama wakili na mahakama ikatamka jeshi la sungusungu liko kinyume cha sheria hivyo jamaa hakuvunja sheria yoyote
Kiondo yuko sahihi nyakati zimebadilika.Kama tuko serious kupinga ukahaba sheria itungwe , wabunge wengi wanaponea huko (Rejea ripoti ya mama Terry).
MAKAMANDA wawili wa polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Charles Kenyela wa Mkoa wa Kinondoni na Kamanda wa Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo, wamekwaruzana na kurushiana maneno yasiyofaa kuhusu namna ya utendaji kazi wa Jeshi la Polisi.
Kutofautiana huko kumeibuka baada ya wiki iliyopita, Kamanda Kenyela kufanya operesheni ya kuwakamata wanawake wanaofanya biashara ya ukahaba, maarufu kama machangudoa na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.
Baada ya Kamanda Kenyela kuendesha operesheni hiyo, Kamanda Kiondo wa Temeke, alinukuliwa na vyombo vya habari jana, akikosoa zoezi hilo na kusema hakuna sheria nchini inayozuia mwanamke kujiuza.
Katika maelezo yake, Kamanda Kiondo alisema, operesheni hiyo ilifanywa kwa kukurupuka na kwamba kamanda huyo hajasomea elimu ya jamii juu ya madanguro.
Kwa mujibu wa Kamanda Kiondo, kama Kamanda Kenyela angekuwa anaielewa vizuri elimu hiyo, kamwe asingedhubutu kuwakamata wanawake hao bali angewapatia elimu na ushauri dhidi ya maradhi wanayoweza kuambukizwa.
Pamoja na hayo, alihoji kuna umuhimu gani wa kuwakamata machangudoa wakati hakuna sheria inayomtaka awafikishe mahakamani badala yake anayetakiwa kushitakiwa ni mtu anayetoa nyumba ili itumike kama danguro.
Naye, Kamanda Kenyela alipozungumza na MTANZANIA jana juu ya kauli za kejeli zilizotolewa na mwenzake huyo, alisema amestushwa na taarifa ya Kamanda Kiondo kwa kuwa amemdhalilisha kupitia vyombo vya habari. Yaani mwandishi sipati picha kama Kamanda Kiondo ambaye hana miezi sita kwenye nafasi hiyo tangu ateuliwe, anaweza kunidhalilisha juu ya utendaji wangu wa kazi, kwanza inakuwaje azungumzie mambo ya Kinondoni wakati mimi nipo? Kama alijua nimekosea, alipaswa kunipigia simu kwanza tushauriane kabla ya kusema kwenye vyombo vya habari au angenisema kwa wakubwa wetu ambao wangeniita na kunishauri ili nisitishe operesheni hiyo, kama kweli ninakwenda kinyume.
Amenidhalilisha sana na unajua ni vigumu kwa kamanda kama yule kutoka kwenye himaya yake na kuzungumzia himaya ya kamanda mwingine wakati mhusika yupo. Kibaya zaidi anasema eti mimi sina elimu ya jamii juu ya madanguro, lakini binafsi siwezi kuona vitendo vinavyoashiria uvunjifu wa amani au usumbufu kwa raia wengine, halafu nikakaa kimya, sitaacha kuchukua hatua.
Ninachoweza kumwambia Kamanda Kiondo ni kwamba, sina ugomvi naye na pia sitaki malumbano naye, kazi ya kudhibiti uhalifu haihitaji mpango mmoja lazima tutumie njia mbadala kuhakikisha tunatimiza majukumu yetu ya kulinda raia na mali zao, nafikiri suala hilo linazungumzika tuache litapata suluhisho, alisema Kamanda Kenyela akionyesha kukerwa na kauli za Kamanda Kiondo.
Source: Mtanzania, 14th Jan 2013
My Opinion:
Kamanda Kenyela yupo sahihi, sheria ipo inayokataza vitendo vya ukahaba - http://www.un.org/Depts/los/LEGISLATIONANDTREATIES/PDFFILES/TZA_penal_code.pdf
Hivi Dar es salaam kuna mikoa mingapi? Ilala pia ni mkoa? ni lini Kinondoni au Temeke imekuwa mikoa?
umedandia treni kwa mbele wewe...