GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
na mimi nachukua fursa ya kuwazomea ccm wote watakaosoma ujumbe huu. Haooooooooooooooooooooooooooooo wezi haoooooooooooooooooooo, wauaji haooooooooooooooooooooooooooooooo, mafisadi haoooooooooooooooooooooooooo, waongo haooooooooooooooooooo.
hata lowasa alishazomewa pale tunduma akielekea kwenye harambee, watu walijipanga barabarani na matawi ya matawi ya miti alipofika akadhania kuwa watu wamekuja kumpokea kwa sababu ya upendo wake kwa wananchi kilichotokea hakuamini walipoanza kuita mwiziiiiiii, fisadiiiiiiiii, barabara ikafungwa kwa mawe makubwa mpaka polisi walipokuja, pia shamsi vuai nahodha alizomewa huko huko mbeya mpaka gari ikaangukia kwenye mtaro, makamu wa rais pia huko huko mbeya alishaionja joto ya jiwe