Majuto ya mnunuzi?

Acha watu waumie kwanza wajifunze jinsi ya kuchagua kiongozi sio mtawala ....

Magufuli akaze kabisa 2020 tutakuwa tumeelewana tu.......
 
Serikali imekuwa kama big Brother, kila wiki kuna anayetolewa
 
Unamkumbuka huyu?

wa ndio dola lakini dola wakashika makontena ya mamake tatizo la malezi mabovu hii clip itamkost sana dogo hata baada ya miaka elfu moja kama mpaka leo yuda escariot amabe hata picha ya sura hatuijui lakini usaliti unamgharimu yeye itakuwaje
 
alafu lizabon nahisi ndio mkuu wa mkoa wa mwanza maana baada ya ile kauli simsikii tena
 
Halafu walikuja kukosea walivyompa mpaka uenyekiti wa chama. Sasa hawana namna ya kumpunguza kasi hata pale anapowakanyaga wao wenyewe kwa style yake ya mwendo kasi.
nilishawahi tabiri huko nyuma ccm ipo siku watakuwa wa kwanza kuidai katiba ya warioba kuliko UKAWA,

watamlilia dr. Mvungi na kutubu waliyomfanyia
 
Hapa kiza tu
 
Hapa nakumbushia tu....

Na kama ningekuwa na uwezo wa kubadilisha kichwa cha mada basi ningekibadili na kuwa 'Majuto ya mpiga kura'.
 
Kusema ukweli ni bonge la ngoma.

Kuna siku nilipita pale Mwenye nikawaona wamama wa CCM wakiucheza....ebana ilibidi nipaki gari pembeni niwaangalie walivyokuwa wakinenguka.

Ilikuwa ni burudani kwelikweli.
Afu ukute wamama hao WAMEJAAALIWA!
 
wa ndio dola lakini dola wakashika makontena ya mamake tatizo la malezi mabovu hii clip itamkost sana dogo hata baada ya miaka elfu moja kama mpaka leo yuda escariot amabe hata picha ya sura hatuijui lakini usaliti unamgharimu yeye itakuwaje

..lakini baadaye makontena yaliachiliwa.

..na wamemuangukia kwa kumpa ubunge.

..kwa kifupi wameungana na lao ni moja.

..malengo yao hayajabadilika. Mbinu ndiyo zimebadilika. Hawa wa sasa hivi wamezidi UKATILI.
 
Kusema ukweli ni bonge la ngoma.

Kuna siku nilipita pale Mwenye nikawaona wamama wa CCM wakiucheza....ebana ilibidi nipaki gari pembeni niwaangalie walivyokuwa wakinenguka.

Ilikuwa ni burudani kwelikweli.
Hivi Ngabu uko wapi Dar au USA baby
 
Damu ya doctor mvungi inalia hakika kikombe cha laana hawata kiepa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…