Majukumu yamenielemea

Huwezi maliza shida za watu.. Kwanza, hata zako tu hutaweza zimaliza mpaka siku unaingia kaburini ndo zitaisha..!!
Fanya haya;
1. Usimpe mtu hela mara tu baada ya kukuomba utawazoesha hivyo, unless otherwise shida hiyo iwe inauwa
2. Usiwe mtu wa kutoa kiasi kamili kilichoombwa, by the way, hakuna anayejua mfuko wako upoje zaidi ya wewe mwenyewe
3. Kumbuka, ndugu hawawasiliani kwamba huyu ameshakuomba, mwingine akupe muda ndo aombe. Kila mmoja anakulilia shida zake kwa namna yake, na wakati mwingine utakutana na watu zaidi ya wawili wote wanakulilia shida
4. SIku moja moja na wewe walilie shida, kila atakayekunyima ndo kakupa tiketi ya wewe nawe kumnyima. Lia shida hata kama huna shida kweli
5. Kumbuka pia humsaidii mtu kwa vile ni nduguyo, BALI KWA VILE ANA SHIDA. Undugu wenu usije ukatumika kukufirisi
 
Acha kutumia cm...utakuja kunishukulu
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€aisee kuna kipindi mzee alikuwa hatakin kabisa habari ya simu sasa nimekua naelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…