Mpina na Salum wamelenga ukuu wa mkoa.Ningewaambia kwann MPINA kaenda ACT , ila nikiandika hapa, WATAMBDHIBITI MAPEMA.
MPINA hataki Urais!!.
Hapana, MPINA ni mkubwa kuliko Ukuu wa mkoa .Mpina na Salum wamelenga ukuu wa mkoa.
Unakymbuka wale wagombea urais wa kuzuga waliogombea na Magufuli walipewa asante ya ukuu wa mkoa. Mmoja katangulia na kwini nadhani bado ni mwana ccm imara na mkuu wa mkoa.
Mkuu ulikuwa unakimbizwa wakati unaandika?Habari, wakuu,
HIvi karibuni, kulitkea DRAMA kati ya Luhaga Mpina na Samina na Bashe,
Tukaambiwa tumwachie ana Majuukumu naye, je ndio hayo kwenda ACT?
Kwa sababu gani hakuna uchaguzi? Mbona habari za jumla jumla...Ningewaambia kwann MPINA kaenda ACT , ila nikiandika hapa, WATAMBDHIBITI MAPEMA.
MPINA hataki Urais!!.
Niongezee tu Oktoba 29 hamna Uchaguzi .
Kwa sasa lazima utamke maneno ya jumlajumla habari ni kwamba october hakuna uchaguzi na haupo kabisaKwa sababu gani hakuna uchaguzi? Mbona habari za jumla jumla...
nahisi ni biteko ndo maana kapita bila kupingwaKuna watu wanasema Bashe anautaka uwaziri mkuu?
Msomali waziri mkuu. Hivi watu wanauchukuliaje uwaziri mkuu wa jam jamhuri ya muungano?
Bado ni jumla jumla tu bandugu... watu wanachukua form kwa sasa, labda Dr.Malisa afanikiwe katika ile kesi yake, halafu wamengue mgombea wa ccm kwa kutofuata mchakato wa ndani, na baada ya hapo Chaumma na Act wapige vigeregere...Kwa sasa lazima utamke maneno ya jumlajumla habari ni kwamba october hakuna uchaguzi na haupo kabisa
Mahakama ni za CCMBado ni jumla jumla tu bandugu... watu wanachukua form kwa sasa, labda Dr.Malisa afanikiwe katika ile kesi yake, halafu wamengue mgombea wa ccm kwa kutofuata mchakato wa ndani, na baada ya hapo Chaumma na Act wapige vigeregere...
Mbona hivi sasa tuna naibu waziri mkuu ambaye ni mtusi wa Rwanda na hushangai?Kuna watu wanasema Bashe anautaka uwaziri mkuu?
Msomali waziri mkuu. Hivi watu wanauchukuliaje uwaziri mkuu wa jam jamhuri ya muungano?
Kwani yule Nchimbi naye si mmalawi? 🤔 😳Mbona hivi sasa tuna naibu waziri mkuu ambaye ni mtusi wa Rwanda na hushangai?