Majogoo ya kisasa

Inu

New Member
Joined
Apr 23, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Habari wana JF Mimi natafuta majogoo ya kisasa ambayo yameanza kuwika au yako karibu sana na kuanza kuwika. nahitaji mengi zaidi ya hamsini. kwa yeyote anayefahamu mahali yanauzwa naomba anijuze. nahitaji kwa ajili ya kuyatumia kwenye mitetea ya kienyeji ili zipatikane kuku chotara. Asanteni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…