Majirani wanamcheka mpenzi wangu

yaa mwanamme kasema mchumba wake dizaini haogi wala kufua nguo
Hamna bwana......huyo mlalamikaji ni mwanamke ambae mwanaume wake ndo yupo hvyo......

Anyway labda hatuelewani .....tuachie hapa
 
Hamna bwana......huyo mlalamikaji ni mwanamke ambae mwanaume wake ndo yupo hvyo......

Anyway labda hatuelewani .....tuachie hapa
Sorry!Mm nilijua mtoa mada ni mwanamme analalamika msichana wake ndiyo yupo hivyo!

Khaa kumbe msela ndiyo mchafu?Ehehehehe makubwa haya
 
Sorry!Mm nilijua mtoa mada ni mwanamme analalamika msichana wake ndiyo yupo hivyo!

Khaa kumbe msela ndiyo mchafu?Ehehehehe makubwa haya
Yap yap msela kabelwa ndo mchafu
 
Umri wako please!!!!
 
Sina simu ya whatsapp..........nichangie ninunue ili nikuone.......
Khaaa!Njoo Kariakoo zipo hadi za elfu 25 unaingia watsap lkn kuandika tu ndiyo huwezi sababu appl ni ya kichina lkn picha inafika

Niandikie ukifika mitaa hii nipo Aggrey/Swahili
 
Khaaa!Njoo Kariakoo zipo hadi za elfu 25 unaingia watsap lkn kuandika tu ndiyo huwezi sababu appl ni ya kichina lkn picha inafika

Niandikie ukifika mitaa hii nipo Aggrey/Swahili
Yaani bora nisiwe na simu......khaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…