hv ilo tangazo la TCU kutoa tarh 5 mmeliona wapi? source pleaseLeo tarehe 05/10/2016 ni sku ambayo tumeisubil tukiskita post za diploma holders walio apply degree ztatoka pamoja na second round ila bado kupo kimya jaman tume mpya ya tcu ilioundwa ni sawa na kazi bure tuView attachment 412270 Mh Jpm usipokazia hili mwakan 2020 jiandae kupewa kula na ndg zako tu[emoji24] [emoji24]
TCUhv ilo tangazo la TCU kutoa tarh 5 mmeliona wapi? source please
Sifuti...Futa hii comment au edit kama unaweza
Teh, akili nyingi huondoa maarifa.Tarehe tano inaisha leo 24.59
Kwani mliambiwa post zinatoka Leo??yaaan hawa TCU NA NACTE wamenifanya nitegeshe alarm saa 6.....wajinga sana hawa watu
sasa kama wao hawajasema unafikili tutafanyeje.....ndio kama hivi tuna jipangia siku na saa tunajifaliji siku inakwenda...kuliko kukaa kimya kama wafu..Kwani mliambiwa post zinatoka Leo??
SAA 12:00pm ni saa sita mchana mkuuwatu wana haraka si umeambiwa be patient up to tarehe 5/10/2016 saa 12:00 pm kwani mda umefika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ssipendagi ujinga mm!!!!!yaaan waha TCU NA NACTE wamenifanya nitegeshe alarm saa 6.....wajinga sana hawa watu
SAA 12:00pm ni saa sita mchana mkuu