Tuwaseme
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 645
- 1,191
1. John-Ni mpenda sifa na Muongo, Kamwe hawezi kukuruhusu ukashika simu yake
2. David-Anapenda kulalamika muda wote, anaringa, anapenda kubembelezwa na anapenda kulelewa
3. Moses-Ni mkali sana na hapendi kuambiwa ukweli
4. Joseph- Mcha mungu, anafanya maovu yake kwa siri sana.
5. Steve- mbahiri sana na anapenda kutembea na Mijimama
6. Hussein-Anaweza kuwa na michepuko zaidi ya mitatu ndani ya nyumba moja na msijuane.
7. Omari-anapenda ubabe wa kijinga kila kitu lazima mshindi awe yeye
8. Robert-Ana roho mbaya na ana mkono mwepesi wa kupiga mwanamke
9. Thomas-Ana hasira za karibu
10. Frank-Kwa kifupi ni pasua kichwa, Mlevi na Mkorofi hapendi marafiki wa kiume wa demu wake. Ila ni muongoji mzuri tu.
11. Fred-Ana wivu kupindukia. Muda wote ana kazi ya kumchunguza mpenzi wake.
12. Raymond-Ana upendo wa dhati tatizo lake Gubu
13. Suleiman-Muda wote yupo busy lakini hana hela
14. Richard-Ugomvi wake hauishi, anapenda kukumbushia makosa ya Zamani. Na anapenda kumpigia simu mpnz wake mara kwa mara, kwa siku anaweza kupiga siku hata mara Kumi.
15. Sudi-Ana upendo wa dhati ila tatizo lake akiachana na mwanamke lazima akatangaze madhaifu yake kwa watu
16. Emmanuel-Mpole ila ana tabia za ubinafsi akikosea hapendi kuomba msamaha
17. Gerald-Anapenda Sifa za kijinga
18. Adolf-Hajui mwanamke mwenye sifa gani anamtaka
19. Abel-Kila kitu anakijua yeye, hapendi kuelekezwa
20. Obeid-Msiri sana, hapendi kumwambia mpenzi wake mambo yake ya Kimaendeleo
21. Othuman- Mpole ila siku akikasirika mbingu itapasuka
22. Nelson- ana Mbwembwe sana ila hajui Mapenzi
23. Paul-Anapenda kutoa ahadi zisizokamilika
24. Habibu-Maneno mengi
25. Ally-Ana tabia za Kiswahili sana na anapenda kumlinganisha mpenz wake wa sasa na wa zamani
26. Felix- Mtulivu lakini ana majivuno
27. Ramadhani-Mchafu mpaka Chumbani kwake
28. Raphael-Ana kibuli cha asili, anapenda kubishana hata kwa kitu kidogo
29. Hassan-Mtaratibu, anaweza kuachana na mwanamke bila hata kumwambia
30. Adam-Ni mcheshi mbele za watu ila akiwa na mpenzi wake ana nuna bila sababu
31. Erick-Kila mkikutana anataka mfanye mapenzi, Mlevi na anapenda kutongoza shemeji zake
32. Wilson-Anapenda kusikilizwa yeye tu.
33. Andrew-mwaminifu sana ila akikuchoka utajuta kumfahamu
34. Hamis-Anapenda Ugomvi wakati mwengine bila sababu
35. Derick-Ni zuzu na anapenda sifa sana akiona watu
36. Shedrack-Hawezi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi 3
37. Isaac-Hajivunii mwanamke aliyenae
38. Mudi-Ana maneno matamu ila nyuma ya pazia ana michepuko kibao
39. Ibrahim- Ana hasira za karibu ila akipewa penzi tu hasira zote zinakwisha anaanza kujichekesha chekesha.
40. Juma-Haishiwi sababu na hakuna swali analokosa jibu.. Ni mjanja sana.
41. James-Hamjali mpenzi wake kwa lolote
42. Ben-Mlevi na mpenda Sifa ila kitandani yuko vzr
43. George-Anapenda kuabudiwa hapendi kukosolewa
44. Deo-Kila mwanamke anamuahidi atamuoa
45. Joachim-Ana maneno mengi ila sio mtekelezaji
46. Samwel-Hawezi kukuruhusu kwenda kwake bila taarifa
47. Julius-Anapenda rafiki na ndugu zake kuliko mpenzi wake
48. Daniel-Anaonyesha upendo siku tu akipewa pesa au mapenzi au kitu chenye thamani
49. Gilbert-Ni mrahisi kuahidi kitu hata kama hana uwezo nacho
50. Nick-Hapendi kuzungumza vitu vya maendeleo, yeye ni fashion tu, hela yake inaishia kwenye kununua nguo
2. David-Anapenda kulalamika muda wote, anaringa, anapenda kubembelezwa na anapenda kulelewa
3. Moses-Ni mkali sana na hapendi kuambiwa ukweli
4. Joseph- Mcha mungu, anafanya maovu yake kwa siri sana.
5. Steve- mbahiri sana na anapenda kutembea na Mijimama
6. Hussein-Anaweza kuwa na michepuko zaidi ya mitatu ndani ya nyumba moja na msijuane.
7. Omari-anapenda ubabe wa kijinga kila kitu lazima mshindi awe yeye
8. Robert-Ana roho mbaya na ana mkono mwepesi wa kupiga mwanamke
9. Thomas-Ana hasira za karibu
10. Frank-Kwa kifupi ni pasua kichwa, Mlevi na Mkorofi hapendi marafiki wa kiume wa demu wake. Ila ni muongoji mzuri tu.
11. Fred-Ana wivu kupindukia. Muda wote ana kazi ya kumchunguza mpenzi wake.
12. Raymond-Ana upendo wa dhati tatizo lake Gubu
13. Suleiman-Muda wote yupo busy lakini hana hela
14. Richard-Ugomvi wake hauishi, anapenda kukumbushia makosa ya Zamani. Na anapenda kumpigia simu mpnz wake mara kwa mara, kwa siku anaweza kupiga siku hata mara Kumi.
15. Sudi-Ana upendo wa dhati ila tatizo lake akiachana na mwanamke lazima akatangaze madhaifu yake kwa watu
16. Emmanuel-Mpole ila ana tabia za ubinafsi akikosea hapendi kuomba msamaha
17. Gerald-Anapenda Sifa za kijinga
18. Adolf-Hajui mwanamke mwenye sifa gani anamtaka
19. Abel-Kila kitu anakijua yeye, hapendi kuelekezwa
20. Obeid-Msiri sana, hapendi kumwambia mpenzi wake mambo yake ya Kimaendeleo
21. Othuman- Mpole ila siku akikasirika mbingu itapasuka
22. Nelson- ana Mbwembwe sana ila hajui Mapenzi
23. Paul-Anapenda kutoa ahadi zisizokamilika
24. Habibu-Maneno mengi
25. Ally-Ana tabia za Kiswahili sana na anapenda kumlinganisha mpenz wake wa sasa na wa zamani
26. Felix- Mtulivu lakini ana majivuno
27. Ramadhani-Mchafu mpaka Chumbani kwake
28. Raphael-Ana kibuli cha asili, anapenda kubishana hata kwa kitu kidogo
29. Hassan-Mtaratibu, anaweza kuachana na mwanamke bila hata kumwambia
30. Adam-Ni mcheshi mbele za watu ila akiwa na mpenzi wake ana nuna bila sababu
31. Erick-Kila mkikutana anataka mfanye mapenzi, Mlevi na anapenda kutongoza shemeji zake
32. Wilson-Anapenda kusikilizwa yeye tu.
33. Andrew-mwaminifu sana ila akikuchoka utajuta kumfahamu
34. Hamis-Anapenda Ugomvi wakati mwengine bila sababu
35. Derick-Ni zuzu na anapenda sifa sana akiona watu
36. Shedrack-Hawezi kudumu na mwanamke zaidi ya miezi 3
37. Isaac-Hajivunii mwanamke aliyenae
38. Mudi-Ana maneno matamu ila nyuma ya pazia ana michepuko kibao
39. Ibrahim- Ana hasira za karibu ila akipewa penzi tu hasira zote zinakwisha anaanza kujichekesha chekesha.
40. Juma-Haishiwi sababu na hakuna swali analokosa jibu.. Ni mjanja sana.
41. James-Hamjali mpenzi wake kwa lolote
42. Ben-Mlevi na mpenda Sifa ila kitandani yuko vzr
43. George-Anapenda kuabudiwa hapendi kukosolewa
44. Deo-Kila mwanamke anamuahidi atamuoa
45. Joachim-Ana maneno mengi ila sio mtekelezaji
46. Samwel-Hawezi kukuruhusu kwenda kwake bila taarifa
47. Julius-Anapenda rafiki na ndugu zake kuliko mpenzi wake
48. Daniel-Anaonyesha upendo siku tu akipewa pesa au mapenzi au kitu chenye thamani
49. Gilbert-Ni mrahisi kuahidi kitu hata kama hana uwezo nacho
50. Nick-Hapendi kuzungumza vitu vya maendeleo, yeye ni fashion tu, hela yake inaishia kwenye kununua nguo