Dear NACTE
Ni matumaini yangu mu wazima na mungu anaendelea kuwapa afya ya kutosha ili kuweza kulitumia taifa letu TANZANIA. Mnamo mwezi April mwaka 2015 mlifungua rasmi maombi kwa watanzania wenye sifa mbalimbali ili waweze kutafuta nafasi mbalimbali kwaajili ya kuongeza elimu zao za juu.
Toka tangazo rasmi litoke mpaka leo hii imepita miezi 6, Tunakumbuka mlitoa nafasi kwa watanzania wenzetu walokosea kufanya taratibu za maombi na mwisho ni tarehe 16. Lakini sasa kwa wale ambao hawajakosea kitu chochote mpaka leo hawajui wapo upande gani??? maana maswali ni mengi mtu anajiuliza kwanini hakuna matokeo ya mwanzo?? ukizingatia mmetangaza vyuo vitafunguliwa kuanzia tarehe 9, na kuna baadhi vitafunguliwa kabla ya tarehe 9.
Nacte tunaomba sisi kama watanzania wenzenu wenye moyo thabiti wa kuja kulijenga taifa letu baadae muweze kututolea hayo matokeo ya awali ili tuweze kuwaandaa wadogo zetu, watoto wetu pamoja na familia zetu, kwani muda umeshaenda sana na kuna mambo mengi ya kufanya ili watoto waende chuoni. Namaanisha "KUCHAGULIWA KATIKA CHUO NI JAMBO MOJA NA MAANDALIZI YA KWENDA CHUO HUSIKA NI JAMBO JENGINE"
Nimatumaini yangu ujumbe wangu utaupata na utaufanyia kazi,
AHSANTE
Wako katika kulijenga Taifa TANZANIA
MTANZANIA.
Ni matumaini yangu mu wazima na mungu anaendelea kuwapa afya ya kutosha ili kuweza kulitumia taifa letu TANZANIA. Mnamo mwezi April mwaka 2015 mlifungua rasmi maombi kwa watanzania wenye sifa mbalimbali ili waweze kutafuta nafasi mbalimbali kwaajili ya kuongeza elimu zao za juu.
Toka tangazo rasmi litoke mpaka leo hii imepita miezi 6, Tunakumbuka mlitoa nafasi kwa watanzania wenzetu walokosea kufanya taratibu za maombi na mwisho ni tarehe 16. Lakini sasa kwa wale ambao hawajakosea kitu chochote mpaka leo hawajui wapo upande gani??? maana maswali ni mengi mtu anajiuliza kwanini hakuna matokeo ya mwanzo?? ukizingatia mmetangaza vyuo vitafunguliwa kuanzia tarehe 9, na kuna baadhi vitafunguliwa kabla ya tarehe 9.
Nacte tunaomba sisi kama watanzania wenzenu wenye moyo thabiti wa kuja kulijenga taifa letu baadae muweze kututolea hayo matokeo ya awali ili tuweze kuwaandaa wadogo zetu, watoto wetu pamoja na familia zetu, kwani muda umeshaenda sana na kuna mambo mengi ya kufanya ili watoto waende chuoni. Namaanisha "KUCHAGULIWA KATIKA CHUO NI JAMBO MOJA NA MAANDALIZI YA KWENDA CHUO HUSIKA NI JAMBO JENGINE"
Nimatumaini yangu ujumbe wangu utaupata na utaufanyia kazi,
AHSANTE
Wako katika kulijenga Taifa TANZANIA
MTANZANIA.