Majina ya walipata viwanja mabwepande haya hapa.

Majina ya walipata viwanja mabwepande haya hapa.

Sioni jina hapa, au nivae miwani.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Namuona mheshimiwa Jerry Slaa meya wa Ilala nae amepata uwanja Mabwepande
Pia naona Mh. mwingine hapo namba 413, au ni majina tu yanagongana!? Kama ndio basi haya majina yametolewa 'Kitanzania'.
 
Mbona watu maarufu wengi tu,wapo;
Said Meck Sadick,Mwigulu lameck,Aggrey Mwanri,Nape NNauye,Joshua Nassari,Sofia Simba...wote hawa ni wananchi na wana haki ya kupata viwanja kama wananchi wengine.
nimemuona na Mwigulu, kusema kweli majina yote yamekaa kisiasa siasa. Kuna watu waliomba huko na walitegemea kupata lakini kufuatia 'tittle' zao kuwa ndogo nasikia hakuna hata mmoja aliyepata.
Acha hii iwe experience nyingine ya kuiendesha hii nchi kwa maana ukweli unabaki pale pale maana hata wangepewa akina yakhe bado wangeliviuza kwa walewale! Taifa linaangamia kwa walio wengi kukosa maarifa.
 
Back
Top Bottom