Majina ya walioficha pesa USWISI haya hapa

Majina ya walioficha pesa USWISI haya hapa

amakyasya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3,480
Reaction score
918
Baada ya kuona Zitto anaogopa kuwataja kama mlivyoogopa kuwataja wauza madawa ya kulevya a.k.a UNGA au SEMBE, mi nimeamua kuwataja tu kama noma na iwe noma, kama mbwai mbwai tu, ukimwaga ugali namwaga mboga, kwani kitu gani bana. Siogopi tindikali wala kung'olewa kucha au meno bila ganzi, kwani ntakuwa wa kwanza mie! Potelea pote kujuana isiwe tabu, nataka ustaarabu.

Haya sasa, nitaje nisitaje?
 
Baada ya kuona Zitto anaogopa kuwataja kama mlivyoogopa kuwataja wauza madawa ya kulevya a.k.a UNGA au SEMBE, mi nimeamua kuwataja tu kama noma na iwe noma, kama mbwai mbwai tu, ukimwaga ugali namwaga mboga, kwani kitu gani bana. Siogopi tindikali wala kung'olewa kucha au meno bila ganzi, kwani ntakuwa wa kwanza mie! Potelea pote kujuana isiwe tabu, nataka ustaarabu.

Haya sasa, nitaje nisitaje?

Acha uctaje
 
Nimefungua haraka haraka nikijua nakutana na list ya watu kumbe mbwembwe zako tu. Hebu acha hizo bana unajua watu wengine pressure iko karibu sana??
 
Baada ya kuona Zitto anaogopa kuwataja kama mlivyoogopa kuwataja wauza madawa ya kulevya a.k.a UNGA au SEMBE, mi nimeamua kuwataja tu kama noma na iwe noma, kama mbwai mbwai tu, ukimwaga ugali namwaga mboga, kwani kitu gani bana. Siogopi tindikali wala kung'olewa kucha au meno bila ganzi, kwani ntakuwa wa kwanza mie! Potelea pote kujuana isiwe tabu, nataka ustaarabu.

Haya sasa, nitaje nisitaje?

kila mbuzi hula kwaurefu wa kamba yake.
 
kila mbuzi hula kwaurefu wa kamba yake.

ha ha ha ha haaaaaa,kakudanganya nani kama kila mbizi hula kwa urefu wa kamba yake.......bari kila mbuzi hula kwa huluma ya mchungaji....unafikili ukimfunga jangwani hata kamba ikiwa kilometa moja atakula nini....?
 
Nimefungua haraka haraka nikijua nakutana na list ya watu kumbe mbwembwe zako tu. Hebu acha hizo bana unajua watu wengine pressure iko karibu sana??

ha ha ha,,,,pole sana kumbuka uko jukwaa la utani
 
Baada ya kuona Zitto anaogopa kuwataja kama mlivyoogopa kuwataja wauza madawa ya kulevya a.k.a UNGA au SEMBE, mi nimeamua kuwataja tu kama noma na iwe noma, kama mbwai mbwai tu, ukimwaga ugali namwaga mboga, kwani kitu gani bana. Siogopi tindikali wala kung'olewa kucha au meno bila ganzi, kwani ntakuwa wa kwanza mie! Potelea pote kujuana isiwe tabu, nataka ustaarabu.

Haya sasa, nitaje nisitaje?
nakupa siku saba, usipotaja nataja mimi, na nikitaja mimi jina lako lazima liwe kwenye list
 
Kama unataka jf ifutike ww yaanike tu hapa, uclete utani na hawa jamaa wenye hati miliki ya hii inji.
 
Kaka sijui umetandika ya wapi aisee,maana hata ya Tarime naona aina weu kama wewe.
 
Back
Top Bottom