Majina ya waliofanikiwa kujiunga na chuo cha maji batch 1

Majina ya waliofanikiwa kujiunga na chuo cha maji batch 1

Chuo cha Maji

Member
Joined
May 4, 2017
Posts
54
Reaction score
34
Habari za Maisha.
Chuo cha Maji kinaendelea kupokea maombi ya kujiunga na Chuo kwa ngazi ya Certificate, Diploma na Degree hadi Tarehe 30 August 2017.

Kwa sasa Batch ya kwanza ya wanafunzi waliofanikiwa kujiunga na Chuo hiki imetoka na unaweza kupakua list katika website ya Chuo au katika file lililoambatanishwa hapa chini.

Vilevile maombi ya Mkopo kwa wanafunzi wanaotaka kuja kusoma certificate au diploma na wale wanaoendelea kusoma Diploma Chuo cha Maji bado yanapokelewa hadi tarehe 30 August 2017.

Asanteni sana.
 

Attachments

Hivi kwa Advance mtu mwenye PCM (EDE) hapo anaweza kujiunga na kozi gani Diploma/Degree.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo jibu ni moja tu... DIPLOMA maana huyo mtu ana points 3 tu so hajafikia malengo ya serikali ya points 4


Mliona raha kutuoneshea "vichinjio 2015" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna watu waliomba na hawajachaguliwa(not selected) na mmewaorodhesha on this PDF..
Sasa mbona hamjatoa reasons, due to why not selected...?
 
Back
Top Bottom