Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Uswazi buguruni mzee kaandika ukuta wake "wazazi KANYENI watoto wenu wasicheze hapa "
Paka mwenye malengo hali panya mwenye mimba.
usilale kesho marejeshoJamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini.
1. Majungu mliyoyapika sasa mtayapakua
2. Nenda kaseme tena
3. Gusa unate
4. Flag ya chuma
5. Masikini hafilisiki
Yangu macho.Wakuu ni vipi?
Katika pita pita zangu nakuwa nikikodolea macho mabango yaliyoandikwa kwenye vyombo vya usafiri kama daladala, bajaji, pikipiki n.k
Sasa nikaona sio vibaya tukaanza kushare yale maneno humu kila tunapoyaona.
Naanza mimi:
"Ikiwaka mulika"
"Kama hujaoga huendi mjini na sisi"
Tupia chako.