Unatoka kazini saa kumi ukijichanganya kidogo ukapitia sehemu mara moja kuja kurudi barabaran kumeshona hapo nyumbani kwako hesabu kwa unaingia saa nne au saatano.. basi wacha tule vibonzo kwenye foleni maneno ya dala dala yanatupunguzia stress. Kudanga sio kazi kazi kumpata mteja. Tupe na wewe message uliyo kutana nayo
Nakumbuka kipindi hicho barabara ya Masasi - Tunduru ni vumbi/tope na ile ya barabara kuu kutoka Somanga- Nyamwage ni Vumbi
Kulikua na Mabasi ya WAHIDA Mfalme wa Barabara ya Dar- Tunduru
Sasa Mabasi haya walikua na Majina yameandikwa kule nyuma kwenye lapa yalikua yanafurahisha sana
Kuna
1. Dume jeuri
2. Unakataa Ugali?
3. Mikikimikiki
4. Astalavista
Halafu kulikua na Basi moja linaitwa AKIDA(ABS) linakwenda Newala limeandika HATA NAJUA?
Nouma sana kipindi hicho wakati barabara ni vumbi
First year wamekuwa wakifanya vimbwanga mbalimbali pale tu wanaopenda kufanya usajili mimi nimevinyaka hivi kwa first year wanaoingia chuoni kufanya usajili mwaka huu. Navibandika hapa na wewe bandika vyako hapo chini tuongezea angalau siku za kuishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.