joika Member Joined Aug 31, 2010 Posts 37 Reaction score 8 Nov 24, 2013 #1 Nimemkubali sana zitto kwa majibu yake juu ya maamuzi ya kamato kuu. Ya msingi yana majibu tunasubuli majjbu ya chadema kwa maswala ya msingi yaliyo ulizwa na zitto.
Nimemkubali sana zitto kwa majibu yake juu ya maamuzi ya kamato kuu. Ya msingi yana majibu tunasubuli majjbu ya chadema kwa maswala ya msingi yaliyo ulizwa na zitto.
joika Member Joined Aug 31, 2010 Posts 37 Reaction score 8 Nov 24, 2013 Thread starter #2 CHADEMA wajibu kuhusu watu walio sambaza walaka kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na walaka feck
Judgement JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 10,326 Reaction score 4,787 Nov 24, 2013 #3 Mletamada ! "Kamato" "Walaka" "Tunasubili" excuse me , umeandika kilugha au?
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Nov 24, 2013 #4 Hapa ni mahala pake au mimi nimekosea njia
mshana org JF-Expert Member Joined Jan 28, 2012 Posts 2,091 Reaction score 619 Nov 24, 2013 #5 Chocs said: Hapa ni mahala pake au mimi nimekosea njia Click to expand... mh wanataka tuanze kukunja sura.
Chocs said: Hapa ni mahala pake au mimi nimekosea njia Click to expand... mh wanataka tuanze kukunja sura.
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Nov 25, 2013 #6 Chocs said: Hapa ni mahala pake au mimi nimekosea njia Click to expand... Kakosea. Muonyeshe mlango wa kutokea besti!
Chocs said: Hapa ni mahala pake au mimi nimekosea njia Click to expand... Kakosea. Muonyeshe mlango wa kutokea besti!
Yegoo JF-Expert Member Joined Nov 14, 2012 Posts 1,434 Reaction score 510 Nov 25, 2013 #7 wewee hapa ni mahala pa kukenua meno yote!! sio kukunjiana sura na kurushiana matofali!!
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,310 Reaction score 108,345 Nov 26, 2013 #8 Avemaria said: Kakosea. Muonyeshe mlango wa kutokea besti! Click to expand... Huyu kaletwa na mafuriko ya masika au mdundiko wa kumcheza mwali....
Avemaria said: Kakosea. Muonyeshe mlango wa kutokea besti! Click to expand... Huyu kaletwa na mafuriko ya masika au mdundiko wa kumcheza mwali....
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Nov 26, 2013 #9 Avemaria said: Kakosea. Muonyeshe mlango wa kutokea besti! Click to expand... Kwa heshima na aelekee tu kule sihasani!
Avemaria said: Kakosea. Muonyeshe mlango wa kutokea besti! Click to expand... Kwa heshima na aelekee tu kule sihasani!
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Nov 27, 2013 #10 watu8 said: Huyu kaletwa na mafuriko ya masika au mdundiko wa kumcheza mwali.... Click to expand... Yawezekana jalamba la mdundiko ndo limemfikisha huku. Si unaona alivyozubaa zubaa mwenyewe hata hajielewi!!
watu8 said: Huyu kaletwa na mafuriko ya masika au mdundiko wa kumcheza mwali.... Click to expand... Yawezekana jalamba la mdundiko ndo limemfikisha huku. Si unaona alivyozubaa zubaa mwenyewe hata hajielewi!!
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Nov 27, 2013 #11 Chocs said: Kwa heshima na aelekee tu kule sihasani! Click to expand... Shukrani. BTW; How are you doing dear? How is your Erickb52? Simuoni siku hizi! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Chocs said: Kwa heshima na aelekee tu kule sihasani! Click to expand... Shukrani. BTW; How are you doing dear? How is your Erickb52? Simuoni siku hizi!
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,241 Reaction score 17,678 Nov 27, 2013 #12 Avemaria said: Shukrani. BTW; How are you doing dear? How is your Erickb52? Simuoni siku hizi! Click to expand... Erick yuko Ukraine Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Avemaria said: Shukrani. BTW; How are you doing dear? How is your Erickb52? Simuoni siku hizi! Click to expand... Erick yuko Ukraine
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Nov 28, 2013 #13 Avemaria said: Shukrani. BTW; How are you doing dear? How is your Erickb52? Simuoni siku hizi! Click to expand... I'm good and he's so soooo mwaaah Hatujambo kabisa Shughuli tu za hapa na pale ila si haba anapitapita Missing you mamy
Avemaria said: Shukrani. BTW; How are you doing dear? How is your Erickb52? Simuoni siku hizi! Click to expand... I'm good and he's so soooo mwaaah Hatujambo kabisa Shughuli tu za hapa na pale ila si haba anapitapita Missing you mamy