Majibu ya transfer ya vyuo yanatoka baada ya muda gani?

Majibu ya transfer ya vyuo yanatoka baada ya muda gani?

Na wanavyoandika majibu yatatoka ndani ya masaa 48 baada ya deadline hua ni kwel au wanazngua ???kwa upande wa nacte lakin
 
Me mwenyewe nimeomba transfer lakini bado kimya sa sijui inakuwaje na leo first year wameanza kupiga buku
 
Back
Top Bottom