MAJIBU YA KAKOBE KWA TRA (31/12/2017)

MAJIBU YA KAKOBE KWA TRA (31/12/2017)

Geologist

Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
68
Reaction score
63
KAKOBE AWAJIBU T.R.A.

"Wokovu unaitwa ni utajiri usiopimika. Sasa usije ukayatafsiri kama upendavyo"
Waefeso. 3:5-8

"Tafuta mradi wowote wa Kakobe Tanzania nzima, na ukiupata, nitakupa zawadi hadharani."

"Kwa maana hiyo sasa,Tafuta kodi kwingine."

"Fedha yoote ya Tanzania, ya Marekani, China, huwezi kununua tiketi moja ya

Mbinguni. Na ndio maana ukiwa umeokoka, unakuwa na utajiri usiopimika."

"Na ndio maana ninapiga kelele, kwamba mimi ni Tajiri kuliko serikali ya Magufuli."

"Fedha zoote ni mali ya Bwana na mimi ni mrithi wa mali hiyo" hagai 2:8

"Na ndio maana ukisikia kitu kinatoka madhabahuni, tulia kidogo kwanza, na fanya mahesabu kabla hujamkabili Kakobe..."

Heri ya Mwaka Mpya
 
hahaaaa tiharaei wamepuyanga
kumbe mwenzao nimjuzi wa fasihi na alikuwa sasa anawachezesha shere ..wanashindwa kupambana na wala rushwa wanaonunua madiwani na wabunge wanahangaika na viongozi wa dini
 
MIMI NILICHOKIELEWA KWA KAKOBE KWA SABABU WA KAWAIDA WOTE WANAJULIKANA NA KAKOBE HAYUKO KWENYE ORODHA YA MATAJIRI WA KIMENGI, KIMANJI NA KIBAKRESA ETAL.

HVYO NILISHANGAA TRA WALIVYOSEMA WANAENDA KUKAGUA?INA MAANA WAO HAWAJUI MATAJIRI WAO?

EBU ONA, KASEMA HATA MAWAZIRI ANAWEZA KUWAKOPESHA.. HV KIPI CHA AJABU?

KASEMA NI TAJIRI KULIKO SERIKALI, HV TRA HAWAKUJIONGEZA HATA KIDOGO KIIMAN! AU HUKO TRA HAKUNA WASOMAJI WA BIBLIA? INASIKTISHA SANA KUONA TRA INAONGOZWA NA WATU WASIOMJUA MUNGU.
 
....Na wao walikurupuka sana, they were supposed to use their brains
Walijiamini sanaa!

Heti wanasema ,tumeyapokea kwa mikono miwili matamshi ya kakobe,kama yeye nu tajiri kuliko serkali,

Tunamfuata atueleze hela anaweka wapi,

SASA WAMEPATA WALICHOKUA WANAKITAKA.

hahahahahahaha.......
Hawa jamaa na elimu yao hii ,hatari sana ,unaweza ukamfumania na mkeo kitandani na ukiwa mjinga anakupa maneno na unatulia.
 
Back
Top Bottom