pinochio Member Jul 27, 2011 26 3 Nov 1, 2011 #1 Wanajamii naombeni mnisaidi nilifanya interview ya PSPF je kwa waliofanya kuna walioitwa tena?
facebook Senior Member Jun 25, 2011 198 35 Nov 1, 2011 #2 pinochio said: Wanajamii naombeni mnisaidi nilifanya interview ya PSPF je kwa waliofanya kuna walioitwa tena? Click to expand... PSPF ndio nini?
pinochio said: Wanajamii naombeni mnisaidi nilifanya interview ya PSPF je kwa waliofanya kuna walioitwa tena? Click to expand... PSPF ndio nini?
C chante JF-Expert Member Mar 11, 2011 511 675 Nov 1, 2011 #3 pinochio said: Wanajamii naombeni mnisaidi nilifanya interview ya PSPF je kwa waliofanya kuna walioitwa tena? Click to expand... walisema kabla ya november wangetoa shortlist ya 2nd round..lbd next week watatoa...si unajua kusahihisha pepa tena then si unaikumbuka ile nyomi ya cku ile pale duce!
pinochio said: Wanajamii naombeni mnisaidi nilifanya interview ya PSPF je kwa waliofanya kuna walioitwa tena? Click to expand... walisema kabla ya november wangetoa shortlist ya 2nd round..lbd next week watatoa...si unajua kusahihisha pepa tena then si unaikumbuka ile nyomi ya cku ile pale duce!
Ngaliba Dume JF-Expert Member Oct 6, 2010 1,710 3,669 Nov 1, 2011 #4 Wanajamii nilifanya interview SEDA arusha kuna alieitwa wenzangu?