CdoEngineer
Member
- Feb 2, 2015
- 93
- 19
Ebhanae wasiopanda daladala wanayakosa haya:
1-atakupa nyuma
2-ntakupa nikikaa vizuri
3-ngoja isimame ntakupa
4-atakupa mbele
5-hujapewa nyuma?
zamu yako kufunguka sasa
Ebhanae wasiopanda daladala wanayakosa haya:
1-atakupa nyuma
2-ntakupa nikikaa vizuri
3-ngoja isimame ntakupa
4-atakupa mbele
5-hujapewa nyuma?
zamu yako kufunguka sasa
konda shusha maziwa,
Abiria:Konda kuna nafasi?
Konda:Kuna nafasi ya kazi,unataka?
nikupe mara ngapi?
Abiria-- Konda nishushe Makongo
Konda-- Njoo ushuke mwenyewe mkubwa mzima nikushushe?
Tulicheka sana