Maji ya DAWASCO machafu

Maji ya bomba kwa sisi wakazi wa Tabata, Kimara na Ubungo tunapata maji yaliyo na rangi ya udongo. Hili tatizo nimeliona kwa zaidi ya miezi sita sasa.

Wakati mwingine ukiyahifadhi uchafu unajitenga chini.

Hii ni hatari.
Ni tatizo la kawaida, sediments accumulation in either tank/reservoir or improper planning of pipe network cleaning an flushing.
Wasiliana na jamaa wa customer care maoni yako yanaweza kusaidia kuona ukubwa wa tatizo lililopo na kulitatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…