Baba Ilhaam
Member
- Oct 20, 2014
- 25
- 4
Habari wakuu!
Poleni kwa majukumu mbalimbali!
Niko ubungo Dar es Salaam!
Nilikuwa naomba kujuzwa wapi naweza pata maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani(si yale ya akina bakhresa) na itakuwa bora kama itakuwa anafanya kusambaza!!
Natanguliza shukraan
Poleni kwa majukumu mbalimbali!
Niko ubungo Dar es Salaam!
Nilikuwa naomba kujuzwa wapi naweza pata maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani(si yale ya akina bakhresa) na itakuwa bora kama itakuwa anafanya kusambaza!!
Natanguliza shukraan