mara nyingi nimesikia ikisemwa maji safi na salama.naomba kuuliza,je maji yanaweza kuwa safi lakini sio salama au yanaweza kuwa salama lakini sio safi?
mara nyingi nimesikia ikisemwa maji safi na salama.naomba kuuliza,je maji yanaweza kuwa safi lakini sio salama au yanaweza kuwa salama lakini sio safi?
Maji yanakuwa safi kwa macho na yanaweza kutumika kwa kuogea, kufulia n.k. Lakini si kwa kunywa. Maji salama ni pale yanapothibitika kuwa hayana madhara kwa binadamu. Na maji hayawezi kuwa salama bila kuwa safi!