king davido
Member
- Feb 22, 2014
- 5
- 2
Kibaha Mwanalugali hatuna Maji ya bomba, wanafunzi shule ya sekondari Mwanalugali pamoja na wananchi wenzangu wanachota Maji ya mto Mpiji. Unachimba shimo maji yatoke ndo uchote ni machafu sana tunapata shida watoto wanaharisha mno.