Maji Dodoma sasa kizungumkuti, DUWASA mmefeli wapi??

Maji Dodoma sasa kizungumkuti, DUWASA mmefeli wapi??

Mfukutuzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
239
Reaction score
175
Miezi kadhaa sasa "maeneo mengi" ya Dodoma Maji yamekuwa shida kubwa. Hayatabiriki. Yanatoka siku 3 yanapotea wiki 3.
DUWASA mmepatwa na nini? Kwa nini hamtoi tahadhari wala maelezo yoyote kwa wateja wenu.

Au population imezidi uwezo wenu wa kutoa huduma?? Ni maswali ambayo wateja wanauliza na kujiuliza ila watoa majibu mpo kimya kama hamuoni kinachendelea.
 
Wakazi wa dodoma mjipange..kiangazi ndo kinaanza
 
Dodoma nyie ni wapigakura wazuri wa ccm inakuaje hata maji kwenu ni shida kiasi hicho?
 
Tulitoa ushauri kwa serkali sulihisho la maji dodoma ni kuchukua yale ya kahama kutoka ziwa Victoria

Hili halina shortcut watu wanaongezeka sana dodoma lazima italemewa tu wasipopeleka maji ya kahama
 
HAIWEZEKANI BHANA! Makao Makuu ya Nchi kuna shida ya maji wakati tunaambiwa Uncle Magu kasambaza maji hadi vijijini?! Au makao makuu yana hadhi ya mtaa tu?!
 
HAIWEZEKANI BHANA! Makao Makuu ya Nchi kuna shida ya maji wakati tunaambiwa Uncle Magu kasambaza maji hadi vijijini?! Au makao makuu yana hadhi ya mtaa tu?!
Huu utakuwa ni mtaa
 
dodoma maji ni yakutosha hasa chanzo cha maji mzakwe kinaweza inywesha hata dar shida ni uchakavu wa miundo mbinu tu nahilo linafanyiwa kazi na serikali sikivu ya mh ccm
 
Back
Top Bottom