Majeshini hakuna wanaume wa hovyo!

Duuuu ila ukijichanganya kwenye 18 zao ndo utajua tu
Nakwambia hivii mijitu ya hovyo ni ya kutoka jeshini wengi tu hawana hata marinda usiogope wanavyovunja tofali kwa kichwa, wali nazi tu wale tunawala bila kijiko kwa mkono tu kama wali msibani. Tafakari chukua hatua.
 
Hawa wakiwa wengi ndio wanakuwa na pawa lakini akiwa peke yake una uwezo wa kumtia mbata
 
Kuna ambao juzi wamekamatwa wameiba mafuta ya dreamliner,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…