Kwa kuchakachua hao ni balaa kila wakati majumba yanaporomoka tu ukiangalia "poor construction in China" utashangaa rushwa katika ujenzi ilivyokithiri,
2008 nyumba zilijengwa kwenye eneo la tetemeko la ardhi bila kuzingatia masharti na rushwa kutawala nyumba 6.5m zilibomoka
Hata kwao wanajenga majengo yasiyo na standard??
Hiyo idadi ya Nyumba zilizobomoka Ni hatari.
Hata kwao wanajenga majengo yasiyo na standard??
Wachina bure kabisa
Kummbe ni china? sawa....
Hadi kwao wanajenga yaliyo chini ya kiwango??