Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Hili swali nadhani mngejiuliza nyie wayahudi wa namanyele.Hivi Waislamu wa Tinde mnahusikaje na igomvi wa Waisrael na Wapalestina?
Hili swali nadhani mngejiuliza nyie wayahudi wa namanyele.Hivi Waislamu wa Tinde mnahusikaje na igomvi wa Waisrael na Wapalestina?
hata wakimkataa Yesu, sisi haitudhuru, hatuwatii au kuwaabudu wao, tunaabudu Mungu wao (Mungu wa Israel, Isaka na Yakobo, yaani Mungu wa Ibrahim), Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo alimwahidi Ibrahimu kwamba, atakayeubariki na yeye atambariti, atakayemlaani atalaaniwa, baraka za ibrahim zinaenda kwa mkondo wa Isaka, sio Ishmael wa waarabu. kwahiyo tunamtii Mungu kwa kutowalaani bali kuwapenda hata kama wao wangetuchukia.Endeleeni kuwashobokea wanaomkana mungu wenu/yesu, na ukristo hawautambui
Nenda ww huko gaza alaf usifuate sheria zao uone utavyotolewa puru lako kmmkoati mahakama ya kijeshi, kuna jeshi Gaza au kikundi cha magaidi? kuna utawala wa sheria Gaza? hivi hata siku moja mnafikiri mtakuja kuishinda Israel? never.