Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,474
Kumekua na mtindo wa madereva kuendesha magari bila kujua sheria za barabarani na hili likiwa linachangiwa na leseni za vichochoroni.
Umakini hakuna katika ku-drive chombo, leo kuna ajali ilitaka kunitokea eneo la Mwembe ladu Zanzibar wakati nikiwa naendesha vespa nimetumia uzoefu wangu wa mda mrefu sikua kukwepa ajali hiyo.
Jinsi ilivyokua, jamaa alikua na gari mbele yangu Hendiketa amewasha ya kulia mimi nikaenda kushoto wakati huo huo ghafla nimekuta kapindisha kushoto mimi nilijua anapinda kulia kama hendiketa inavyoelekeza.
Umakini hakuna katika ku-drive chombo, leo kuna ajali ilitaka kunitokea eneo la Mwembe ladu Zanzibar wakati nikiwa naendesha vespa nimetumia uzoefu wangu wa mda mrefu sikua kukwepa ajali hiyo.
Jinsi ilivyokua, jamaa alikua na gari mbele yangu Hendiketa amewasha ya kulia mimi nikaenda kushoto wakati huo huo ghafla nimekuta kapindisha kushoto mimi nilijua anapinda kulia kama hendiketa inavyoelekeza.