Majanga, nina damu ya kunguni

Majanga, nina damu ya kunguni

wambagusta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
2,840
Reaction score
2,329
ni kama best friend hivi ! tatizo yeye akipiga story na wanaume mie nikiona na chukulia poa maana sio mchumba wangu .lakini mie akiniona na piga story na msichana anachukia na hata nikimpa hai ataki
 
Hizo ni alama za nyakati mkuu kawa huwezi kuzisoma utabaki kulalama tu muda unasonga
 
utakuwa unajichua sana ndo mana huna ham na wanawake ungekuwa hufanyi hvy ungeshachangamkia tenda cku nyingI
 
ni kama best friend hivi ! tatizo yeye akipiga story na wanaume mie nikiona na chukulia poa maana sio mchumba wangu .lakini mie akiniona na piga story na msichana anachukia na hata nikimpa hai ataki
Una umri gani ndugu? Toka lini kukawa na ubestfriend baina ya mwanamke na mwanaume? Kusoma hujui hata picha pia huoni? Au unasubiri aje akuvulie chupi mbele yako ndo utajua anachonunia?
 
huyo anakupenda si unajua mila za kiafrika zilivyo. Ukimwagia verse tu anaweka tick kubwa km kumsukuma mlev kweny mteremko. Ila chonde chonde km haumpend achana naye usije ukamharib bint wa watu. Si unajua vijana wa siku hiz wana mgomo 'hawataki kuoa single motherr' vyovyote atakavyokuchukulia chukulia poa km haumpend. Vijana wanadai et baadh ya single mother wasumbuf kinoma. Ila kumbuka ukimwi upo
 
Mama Ndalichako vipi kuhusu posts za form 5?
 
form four wamemaliza mock kumbe?
 
Sasa hapo damu ya kunguni inakujaje??!khaa!
 
ujue ana hisia za mapenz juu but anashindwa kukwambia . so anaishia kuwa na wivu tu, anasubiria wew umuelewe hisia zake
 
Acha kujaza server ya JF kwa mada za kipuuzi bhana.!
 
Back
Top Bottom