jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 172
- 42
Majambazi waliokuwa wamejihami kwa silaha za
kisasa walivamia kituo Kidogo cha polisi kilichoko Gongolamboto na kuwateka
polisi waliokuwemo kituoni humo na kuwafungia mahabusu ya kituo hicho, majambazi
hao pia waliwajeruhi na walitaka silaha zaidi na radio call, hata hivyo
walishindwa kwakuwa radiocall haikuwa na chaji(aibu nyingine ya jeshi la polisi)
waliondoka wakiwaacha polisi ndani ya lockup yao mpaka walipokuja kuokolewa na
wananchi
CREDIT ; Radio Wapo, Radio Tumaini
Read more: Mdodosaji: MAJAMBAZI YAVAMIA KITUO CHA POLISI