pia nathani hawana uzoeefu wale wenyewe hawauwi ovyoHao sio majambazi ni wachumia tumbo. Jambazi hawezi kuua mtu kwa ajili ya Tsh. 1.7M. Hiyo hela wakigawana wahusika wote kila mtu atapata shilingi ngapi? Hiyo hela itakayopatikana haitoshi kununulia hata iPhone 5.
R.I.P. Mushi.
Sasa hiyo si ni hela ya supu tu....Life is pricelessR.I.P : Mfanyabiashara wa mbao Nickson Mushi ameuawa usiku wa kumkia leo na watu wanaodhaniwa majambazi, wampora takriban Sh 1.7 Mil, Polisi yathibitisha.
pia nathani hawana uzoeefu wale wenyewe hawauwi ovyo
Hiyo hela
wakigawana wahusika wote kila mtu atapata shilingi ngapi?
Sio majambazi hao.
maafande wetu juzi niliwaona.moshi makimaliza mafunzo jinsi ya kupambana uhalifu vp.intelgesia aikuweza kugudua hualifu huo wangeweza.kumwokoa mushi