Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Hivi kwanini mleta mada kasema wanavamia 'maduka'?
Hivi kwanini mleta mada kasema wanavamia 'maduka'?
Unaanisha Visiwa vya Zanzibar, Ukerewe na Mafya pia..
wanaume wa Dar bura kabisa waoga zaidi ya fisi
unajua mkuu, kuna watu wanaleta mzaha kwenye mambo mazito kabisa, sasa mtu anatoa taarifa ya hatari eti ooh, weka picha! hivi wanawajua majambazi wanapokuwa kazini kweli!
ultaka asemaje labda
Nadhan huyo hatujui vzr.
waache kuiba watakula wapi.
Wanaume wa Dar wanaharibiwa sifa na watu kama wewe , ndo design ya hawa wanaochungulia majambazi na kuleta umbea huku basi bora urudi kwenu kilombero ijulikane.
Akawanyang'anye silaha?
Aliyekudanganya kwamba Policcm wanajali kiasi hicho ni nani? Nijuavyo mimi ni kwamba hata kama wakipigiwa sumu hawatakuja kwa wakati. Watasingizia ooh, Gari haina mafuta, Ooh tupo wachache kituoni na hatuwezi kufunga kituo tuje huko, Ooh hao majambazi wako wangapi na wana bunduki aina gani? Baada ya hapo watawasili kwenye eneo la tukio saa nne baada ya majambazi kuondoka. Polisi wa Tanzania ndio polisi ovyo kabisa duniani. Wewe ukitaka waje saa hiyo hiyo, wapigie uwaambie kuna wananchi wanafanya maandamano ya amani kudai haki zao za kiraia. Hapo ndipo utaona mikwara: Sio mabomu Ya machozi, maji ya kuwasha, risasi za mpira, na virungu, na baya zaidi, risasi za moto. Polisi bure kabisa hawana maana yeyote. Kutokuwapo kwao ni afadhali kuliko kuwapo kwao.
We wa Dar pia?
No wonder hujui umuhimu wa filimbi!!! Mtaa wenu ukivamiwa mnaamshanaje kudhibiti hali?
jamaa kasema anawachungulia dirishani na anaona mpaka silaha walizonazo we huoni umuhimu wa kuwapiga picha isaidie katika kuwakamata??angekuwa yupo mahala ambapo so Salama tusingeomba picha
Mkuu yaan kweli watu wa dar hadi leo mna amshana kwa filimbi yaan mambo ya miaka 47 still bado mnayatumia kwenye karne ya sayansi na teknologia?Halafu eti mna jiita mnakaa mjini???Mtaa wangu hatuwezi amshana kwa mafilimbi ili kama nyie.Sie tuna amshana kwa simu tu coz majirani wote tuna fahamiana.Ume sikia mvulana wa dar?
tofautisha kati ya wezi na majambazi!
police kwa tukio la namna hiyo hawafikagi mapema ng'o!/ pia majambazi mengi huwa yanamawasiliano na vituo vya policeMuda unaohangaika kupost Jf ungekuwa umewapigia Polisi wangekuwa wameshafika tayari.
hivi ninavyoongea muda huu majambaz wanapora pesa hapa tabata liwiti kwenye duka la jiran yetu bwana mganga,nipo dirishan nawaangalia wapo kama wanne mmoja akiwa na bunduki na bostola, dah hapa tumekusanyika watu mpaka sasa polis hawajafik,muuzaji kazilai,ntatuma picha soon za tukio.
Ndio maana majambazi yanatamba.....miaka ya themanini wanafunzi wa shule ya msingi waliwahi kusaidiana na askari mmoja wa CID kudhibiti majambazi wenye silaha huku wanafunzi wakitumia mawe.......hii ilitokea Mwanza kipindi hicho...
Apigie jirani zake wapige filimbi wote kwa pamoja halafu jamaa wakipagawa wawatokee kwa umoja. Wanaume mkiwa na adui mkubwa mnaunga nguvu. Sio kuposti JF. Upuuzi huu...