MAJADILIANO: Fursa za kibiashara

goldie ink

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
5,636
9,132
Habari za wikiendi mabibi na mabwana,

Naamini mnaendelea vizuri na Mungu anawalinda katika kila jambo jema mnalolifanya, pia harakati za maisha yetu naamini pia bado tunaendelea kupambana kwa namna Moja au nyingine.


Nimeona leo sote kwa pamoja kama wanachama wa jamiiforums tuweze kujadiliana kwa mapana kuhusu kupata fursa za kibiashara / uchumi ili kuweza kuendelea kujikimu kimaisha bila kujali changamoto gani itatokea,
Ni vyema pia ningependa kuanza kueleza kwa kina kuhusu fursa hizi ili tuweze kupata urahisi wa kufafanua / kujadiliana kuhusu mada hii husika.

Ninaposema fursa za kibiashara nilikuwa na maana ya kwamba ni biashara gani ambayo tunaweza kuifanya na maeneo gani ambapo pamefulia kwa shughuli za kibiashara, uhitaji mkubwa / mdogo wa bidhaa kwa watu wake, soko lake pia limekaaje.

Mimi kama kijana nimeona bora nije huku ili niweze kupata mawazo mbali mbali kupitia nyinyi na mimi pia nitatoa mawazo yangu ila kuna wengine pia wananufaika na mjadala huu husika.

* Kwanza nilifikiria kufanya biashara ya chakula kwa mkoa wa mbeya, na mwanza,

* biashara ya kufuga kuku wa nyama na mayai katika mkoa wa dar es salaam.

* kufanya biashara ya kubuni mitindo mbali mbali ya nguo kwa mfumo wa kupiga chapa na kuprinti,

* kutengeneza sigara kwa kutumia tumbaku ya daraja la kwanza, na kufanya sigara kuwa na muonekano mzuri, na yenye ubora.

Mwenye wazo lingine ambalo anaona ni fursa nzuri ya kiuchumi ambayo tunaweza kuifanya iwe dar es salaam au mikoani, changamoto za hiyo biashara.

Ahsanteni sana ndugu zangu wa JF, karibuni pia kwenye haya majadiliano.
 
Asante mleta mada,namimi nichangie kidogo.

1.Kufanya biashara ya chakula mbeya si chaguo sahihi,mbeya hakuna uhitaji mkubwa wa chakula sababa angalau kila mtu mbeya ana shamba,kwahiyo kila mtu anachakula chake ndani.

Chakufanya,nunua mazao ya chakula mbeya,njombe,rukwa,kisha kayauze singida,dodoma,manyara,tabora,shinyanga,zanzibar na dar es salaam.

***********
Wazo langu.

Watanzania inabidi tuanze kutoka nje kwa wingi ili kupanua wigo wa soko la bidhaa zetu za ndani.

Nchi jirani ya DRC congo ina fursa nyingi sana,kila kitu unachokijua wewe kina soko DRC,naomba watanzania tuelekee congo.

Tusiwaachie wananigeria,wakenya na wasenegal peke yao.
××××××××××××××

Ila wazo la sigara liko poa sana,wasiwasi wangu ni je TFDA watatoa kibari kweli?
 
Habari za wikiendi mabibi na mabwana,

Naamini mnaendelea vizuri na Mungu anawalinda katika kila jambo jema mnalolifanya, pia harakati za maisha yetu naamini pia bado tunaendelea kupambana kwa namna Moja au nyingine.


Nimeona leo sote kwa pamoja kama wanachama wa jamiiforums tuweze kujadiliana kwa mapana kuhusu kupata fursa za kibiashara / uchumi ili kuweza kuendelea kujikimu kimaisha bila kujali changamoto gani itatokea,
Ni vyema pia ningependa kuanza kueleza kwa kina kuhusu fursa hizi ili tuweze kupata urahisi wa kufafanua / kujadiliana kuhusu mada hii husika.

Ninaposema fursa za kibiashara nilikuwa na maana ya kwamba ni biashara gani ambayo tunaweza kuifanya na maeneo gani ambapo pamefulia kwa shughuli za kibiashara, uhitaji mkubwa / mdogo wa bidhaa kwa watu wake, soko lake pia limekaaje.

Mimi kama kijana nimeona bora nije huku ili niweze kupata mawazo mbali mbali kupitia nyinyi na mimi pia nitatoa mawazo yangu ila kuna wengine pia wananufaika na mjadala huu husika.

* Kwanza nilifikiria kufanya biashara ya chakula kwa mkoa wa mbeya, na mwanza,

* biashara ya kufuga kuku wa nyama na mayai katika mkoa wa dar es salaam.

* kufanya biashara ya kubuni mitindo mbali mbali ya nguo kwa mfumo wa kupiga chapa na kuprinti,

* kutengeneza sigara kwa kutumia tumbaku ya daraja la kwanza, na kufanya sigara kuwa na muonekano mzuri, na yenye ubora.

Mwenye wazo lingine ambalo anaona ni fursa nzuri ya kiuchumi ambayo tunaweza kuifanya iwe dar es salaam au mikoani, changamoto za hiyo biashara.

Ahsanteni sana ndugu zangu wa JF, karibuni pia kwenye haya majadiliano.
Ili ufanikiwe tatua changamoto moja wapo inayo kumba jamii.

Bagharesa alikuja na Azam nazi kutatua changamoto ya watu kukuna nazi.

Pia akaja na Chapati ilikutatua changamoto ya watu kutumia muda mwingi kusukuma chapati.

Ona sasa anavyo piga pesa.

Tafuta changamoto na itatue basi pesa itakufuata, pesa haitafutwi bali pesa hutafuta wale wenye knodge
 
Asante mleta mada,namimi nichangie kidogo.

1.Kufanya biashara ya chakula mbeya si chaguo sahihi,mbeya hakuna uhitaji mkubwa wa chakula sababa angalau kila mtu mbeya ana shamba,kwahiyo kila mtu anachakula chake ndani.

Chakufanya,nunua mazao ya chakula mbeya,njombe,rukwa,kisha kayauze singida,dodoma,manyara,tabora,shinyanga,zanzibar na dar es salaam.

***********
Wazo langu.

Watanzania inabidi tuanze kutoka nje kwa wingi ili kupanua wigo wa soko la bidhaa zetu za ndani.

Nchi jirani ya DRC congo ina fursa nyingi sana,kila kitu unachokijua wewe kina soko DRC,naomba watanzania tuelekee congo.

Tusiwaachie wananigeria,wakenya na wasenegal peke yao.
××××××××××××××

Ila wazo la sigara liko poa sana,wasiwasi wangu ni je TFDA watatoa kibari kweli?
Unacho sema ni kweli na kwa sasa usipo tafuta changamoto kwenye jamii na ukaitatua basi sahau mafanikio
 

Wageni karibuni wote
Humundani kuna fursa moja ambayo ita wainua watu wengi.

Jiunge na ajira hii ya mtandaoni kwa manufa yako mwenyewe

1.ajira hi aitaji kipato wala elimu INA itaji muda na kifurushi cha intanet

2.malipo yake yana fanyika SAA yoyote ndani siku za kazi pale uta kapo hitaji ulipwe

3.ukijiunga ili uweze kupatiwa pesa zako itakubidi ufikishe dola 150$ kwamara yakwanza hi wana ifanya ili kujua kama upo serious kufanya kazi nao.ila ukisha to a kwa Mara ya kwanza baada yahapo itakua unalipwa kila unapo fikisha 5$ nakuendelea

3.na malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote APA nchini kwetu

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua SAA moja nanusu kwa kufanya kazi bila kusimama bila kusimama

Kazi yenyewe niku angalia ma tangazo yanayo wekwa kwenye tovuti apo chini ili kujiunga

Boyeza linki
Viewing payed advertising sites qmoney.host - Welcome!
Unaweza ukawa shilikisha na wenzako

 

Wageni karibuni wote
Humundani kuna fursa moja ambayo ita wainua watu wengi.

Jiunge na ajira hii ya mtandaoni kwa manufa yako mwenyewe

1.ajira hi aitaji kipato wala elimu INA itaji muda na kifurushi cha intanet

2.malipo yake yana fanyika SAA yoyote ndani siku za kazi pale uta kapo hitaji ulipwe

3.ukijiunga ili uweze kupatiwa pesa zako itakubidi ufikishe dola 150$ kwamara yakwanza hi wana ifanya ili kujua kama upo serious kufanya kazi nao.ila ukisha to a kwa Mara ya kwanza baada yahapo itakua unalipwa kila unapo fikisha 5$ nakuendelea

3.na malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote APA nchini kwetu

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua SAA moja nanusu kwa kufanya kazi bila kusimama bila kusimama

Kazi yenyewe niku angalia ma tangazo yanayo wekwa kwenye tovuti apo chini ili kujiunga

Boyeza linki
Viewing payed advertising sites qmoney.host - Welcome!
Unaweza ukawa shilikisha na wenzako

Hao ni waizi mkuu!
 
Kuna time limit kny kujibu humu?
Hakuna limit ila inategemea umejibu vipi kwakuangalia mabadiliko ya muda mfano uwo ujumbe wa network market kipindi unatumwa iyo 2017 watu wengi hawakuwa aware na utaperi angeandika ilo jibu wakati uwo angekuwa sahihi, sasa umepita muda now kilamtu yupo aware na utaperi wewe njio unakuja ku-reply leo eti mataperi unaonekana ujasoma nyakati kwani nani asiyejua kwasasa.

Mfano mwengine: mtu kapost anaiza Laptop January 2019 unakuta mtu ana comment Leo bado unayo hapo ujasoma nyakati msoma nyakati atakomenti “Unanyingine unayouza mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wikiendi mabibi na mabwana,

Naamini mnaendelea vizuri na Mungu anawalinda katika kila jambo jema mnalolifanya, pia harakati za maisha yetu naamini pia bado tunaendelea kupambana kwa namna Moja au nyingine.


Nimeona leo sote kwa pamoja kama wanachama wa jamiiforums tuweze kujadiliana kwa mapana kuhusu kupata fursa za kibiashara / uchumi ili kuweza kuendelea kujikimu kimaisha bila kujali changamoto gani itatokea,
Ni vyema pia ningependa kuanza kueleza kwa kina kuhusu fursa hizi ili tuweze kupata urahisi wa kufafanua / kujadiliana kuhusu mada hii husika.

Ninaposema fursa za kibiashara nilikuwa na maana ya kwamba ni biashara gani ambayo tunaweza kuifanya na maeneo gani ambapo pamefulia kwa shughuli za kibiashara, uhitaji mkubwa / mdogo wa bidhaa kwa watu wake, soko lake pia limekaaje.

Mimi kama kijana nimeona bora nije huku ili niweze kupata mawazo mbali mbali kupitia nyinyi na mimi pia nitatoa mawazo yangu ila kuna wengine pia wananufaika na mjadala huu husika.

* Kwanza nilifikiria kufanya biashara ya chakula kwa mkoa wa mbeya, na mwanza,

* biashara ya kufuga kuku wa nyama na mayai katika mkoa wa dar es salaam.

* kufanya biashara ya kubuni mitindo mbali mbali ya nguo kwa mfumo wa kupiga chapa na kuprinti,

* kutengeneza sigara kwa kutumia tumbaku ya daraja la kwanza, na kufanya sigara kuwa na muonekano mzuri, na yenye ubora.

Mwenye wazo lingine ambalo anaona ni fursa nzuri ya kiuchumi ambayo tunaweza kuifanya iwe dar es salaam au mikoani, changamoto za hiyo biashara.

Ahsanteni sana ndugu zangu wa JF, karibuni pia kwenye haya majadiliano.
iyo point ya 5 dadavua kidogo maana sie wengne tunafanya biashara ya masanduku ya kuzikia unaonaje kama ukafanya uamuzi wa kuuza tumbaku moja kwa moja tuweze kusadiana kwenye biashara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom