Mke wako anafanya kazi gani?Binafs mambo yamenizidia kuwa magum sana, niseme nimefilisika, nimekubaliana na hali, sina ajira tena, sina pesa tena sijui nianzie wapi, huku nyuma familia inanitegemea, mke na mtoto mmoja wanahitaj huduma.
Nahisi kuchanganyikiwa muda mwingine unatembea kama kichaa, huku unawaza. Yaani natamani kwenda kutafuta maisha sehem yoyote yenye fursa lakini najiuliza nitaenda wap, na Dar bila kujishughulisha ni pagumu sana.
Mwenye ushauri au msaada wowote ule wa kazi tafadhal anaweza nisaidia, kwa maana akili yangu kiukweli ime-stuck, kichwa nahisi cha moto sana, kishakuwa kizito.
Eeeh Mungu wangu nishike mkono.
Kwani nini asikae kibaha au kigamboni.Jambo la kwanza Hama dar es laam
kuna sehemu maisha ni afadhari kwasasa huwez enda mbali sana
Tanga pana fursa sana na vyakula or malazi sio ghari sana kama dar
Hivi kidume ameshindwa hata kwenda kuchoma mkaa Msata? Vipi huyo mwanamke ameshindwa hata kwenda kusafisha sahani na mabakuli kule kwa mamalishe? Hizo Mb anazotumia kuandika humu Jf anazipataje kwa mfano.Ukosefu wa ajira hapa Bongo ni kama wimbo wa Taifa kila mtu anaweza kuimba, usikate tamaa, Omba Mungu kwa imani milango yako ya baraka itafunguka.
Hapo sasa.Hivi kidume ameshindwa hata kwenda kuchoma mkaa Msata? Vipi huyo mwanamke ameshindwa hata kwenda kusafisha sahani na mabakuli kule kwa mamalishe? Hizo Mb anazotumia kuandika humu Jf anazipataje kwa mfano.
Hahahaha bila shaka unapenda ungekua mwarabu na uishi Saudi ArabiaChukuea udhu, usali rakaa mbili, mambo ya kupita hayo, usiwe na wasiwasi.
"au mpelekee mtumishi wa mungu akuombee" acha ujinga ww hela hana watoto na mkewe hawajala hiyo zaka anaitoa wp? ninyi watumishi mbuzi ni watu wa hovyo hovyo tu shuwain!Suluhu ya Kupata pesa na kuepuka kufilisika ni kulipa ZAKA baas.
Anza nw,
Chukua Kiasi chote ulichonacho saiz mfukoni, kiasi ambacho ndo pekee ulichonacho,
Kichukue ukawape maskini zaidi,
Au mpelekee mtumishi wa Mungu akuombee,
Mungu ameruhusu tumjaribu Kwa matoleo na ZAKA.
Usipuuzie nlokwambia. Utafunguliwa kipato chako, utapata deals na hutoamini,
Na kuanzia Leo, badilika, Kila ukipatacho, Tenga 1/10, hiyo ni ZAKA.
Ni hayo tu.
Kwani kichwani mwako huna ushauri Hadi uboreshe ushauri walotoa wengine?"au mpelekee mtumishi wa mungu akuombee" acha ujinga ww hela hana watoto na mkewe hawajala hiyo zaka anaitoa wp? ninyi watumishi mbuzi ni watu wa hovyo hovyo tu shuwain!
Toa ushauri wako, mtoa mada ameomba ushauri, kama huna unakaa kimya.Hiyo 1/10 sio suala la kitoto. Jamaa apambane tu kwasababu kuna watu hawakosi Church na zaka wanatoa ila bado mambo magumu kinyama.
HahahaShukuru kila jambo anza kushukuru kwasababu mke bado unaye kipindi hichi kigumu viumbe hao kwenye ugumu huwa hawasogei
we jamaa una makosa ya kisarufi na uandishi ila una contents balaa
WaBado unao muda mwingi sana wa kujipanga. Wewe ni Me (na ujitambue hivyo). Kazi za kufanya ili uendelee kuishi ni nyingi sana kama wadau walivyobainisha huko juu. Cha msingi ni usichague kazi (kazi halali) na usiionee aibu kazi fulani. Kumbuka cheti chako cha Uhandisi ni karatasi tuu linaloweza kutumika ikitokea fursa, lakini ukifanya kazi nyingine yoyote inawezekana. e.g. sasa hivi Upo ujenzi wa majumba unaoendelea kila leo katika miji yote mikubwa na midogo hapa Tz. Ukienda huko kutafuta kazi ya saidia fundi unapata bila masharti yoyote - alimradi uwe tayari unaweza na ukubali malipo ya kati ya Tzs elfu 10 - 15 kwa siku.
Tena huku kwetu Umasaini ndani-ndani huku, wapo vijana wanasambaza maji dumu 1 (lts 20)kwa Tzs 300 - 500. Kitoroli au kiberenge kina uwezo wa kubeba madumu 6 -10 kwa mara moja. ref. Mtaji wa maskini ni nguvu zake.
BTW: Kazi zipo ila Watu / Vijana kama ww wanazionea haya eti nitajidhalilisha. Wengine hawataki kuondoka/ kutoka kwenda kusaka fursa kwingine e.g. hapo Dar. utadhani vijana wa hapo wamelogelezewa kukaa Dsm. tu kana kwamba ni marufuku kuondoka hapo.
Wanasema kijana ili utajirike ni lazima uishi Dar, kwamba ukiishi nje ya Dar sahau kuhusu utajiri japo mleta mada anaishi Dar na maisha yamemchapa, sijui ukweli ni upi.Bado unao muda mwingi sana wa kujipanga. Wewe ni Me (na ujitambue hivyo). Kazi za kufanya ili uendelee kuishi ni nyingi sana kama wadau walivyobainisha huko juu. Cha msingi ni usichague kazi (kazi halali) na usiionee aibu kazi fulani. Kumbuka cheti chako cha Uhandisi ni karatasi tuu linaloweza kutumika ikitokea fursa, lakini ukifanya kazi nyingine yoyote inawezekana. e.g. sasa hivi Upo ujenzi wa majumba unaoendelea kila leo katika miji yote mikubwa na midogo hapa Tz. Ukienda huko kutafuta kazi ya saidia fundi unapata bila masharti yoyote - alimradi uwe tayari unaweza na ukubali malipo ya kati ya Tzs elfu 10 - 15 kwa siku.
Tena huku kwetu Umasaini ndani-ndani huku, wapo vijana wanasambaza maji dumu 1 (lts 20)kwa Tzs 300 - 500. Kitoroli au kiberenge kina uwezo wa kubeba madumu 6 -10 kwa mara moja. ref. Mtaji wa maskini ni nguvu zake.
BTW: Kazi zipo ila Watu / Vijana kama ww wanazionea haya eti nitajidhalilisha. Wengine hawataki kuondoka/ kutoka kwenda kusaka fursa kwingine e.g. hapo Dar. utadhani vijana wa hapo wamelogelezewa kukaa Dsm. tu kana kwamba ni marufuku kuondoka hapo.
Ayaah unataka amtelekeze mtoto kisa ugumu wa maisha kwa kisingizio kwamba hawafanani😀😀Je mwanao mnafanana?
Jichanganye uanze kupiga kazi ndogo deiwaka za ujenzi na kubeba mizigo ya wateja Cha kufanya amka mepema kaa kwenye Hardware wanalouza vifaa vya ujenzi mpaka jioni haukosi buku ten au buku saba za kununulia dogo na dagaaBinafs mambo yamenizidia kuwa magum sana, niseme nimefilisika, nimekubaliana na hali, sina ajira tena, sina pesa tena sijui nianzie wapi, huku nyuma familia inanitegemea, mke na mtoto mmoja wanahitaj huduma.
Nahisi kuchanganyikiwa muda mwingine unatembea kama kichaa, huku unawaza. Yaani natamani kwenda kutafuta maisha sehem yoyote yenye fursa lakini najiuliza nitaenda wap, na Dar bila kujishughulisha ni pagumu sana.
Mwenye ushauri au msaada wowote ule wa kazi tafadhal anaweza nisaidia, kwa maana akili yangu kiukweli ime-stuck, kichwa nahisi cha moto sana, kishakuwa kizito.
Eeeh Mungu wangu nishike mkono.
Khaaa nilishapitiaga hio haliBinafs mambo yamenizidia kuwa magum sana, niseme nimefilisika, nimekubaliana na hali, sina ajira tena, sina pesa tena sijui nianzie wapi, huku nyuma familia inanitegemea, mke na mtoto mmoja wanahitaj huduma.
Nahisi kuchanganyikiwa muda mwingine unatembea kama kichaa, huku unawaza. Yaani natamani kwenda kutafuta maisha sehem yoyote yenye fursa lakini najiuliza nitaenda wap, na Dar bila kujishughulisha ni pagumu sana.
Mwenye ushauri au msaada wowote ule wa kazi tafadhal anaweza nisaidia, kwa maana akili yangu kiukweli ime-stuck, kichwa nahisi cha moto sana, kishakuwa kizito.
Eeeh Mungu wangu nishike mkono.
Msaada sio haki yake ni muhimu apambaneMtoa mada hataki kupambana. Anataka msaada tu