Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 26
Niko njiani naelekea kwa wazazi wa mtarajiwa wangu. Kiroho kinanidunda kinoma, sijuwi nitaeleweka. Wana jamvi niombeeni.
tukuombee roho isikudunde! sasa ikisimama si utakufa jamaani...mi hayo maombi sifanyi ng'ooo!
Niko njiani naelekea kwa wazazi wa mtarajiwa wangu. Kiroho kinanidunda kinoma, sijuwi nitaeleweka. Wana jamvi niombeeni.
Niko njiani naelekea kwa wazazi wa mtarajiwa wangu. Kiroho kinanidunda kinoma, sijuwi nitaeleweka. Wana jamvi niombeeni.
Niko njiani naelekea kwa wazazi wa mtarajiwa wangu. Kiroho kinanidunda kinoma, sijuwi nitaeleweka. Wana jamvi niombeeni.
Hata wakikukataa Usijali dogo, ma-single ladies/girls wamejaa hapo JF kibao. Tena walioenda shule.
Shem hebu mpatie mbimu,mwambie Mwanaume wa Kweli ni Jasiri.
hili nalo limenifanya ni pige kimya nisitafutie mchuchu pane hizi. Sie wengie tulikua tunaendaga kuwinda sungura na digidgi wakati wa masomo hizo degree tunazitoa wapi? Labda degree za temperature (i mean 36 degree centigrade)wanataka aliye na degree ndo kigezo cha kwanza
Niko njiani naelekea kwa wazazi wa mtarajiwa wangu. Kiroho kinanidunda kinoma, sijuwi nitaeleweka. Wana jamvi niombeeni.