Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Mtaani kwetu marafiki zangu wananiambia nichukue jiko,
Nikiwa na mke nitafanikiwa.
Hivi kuna husiano gani wa mafanikio kwa mwanamke ndani ya ndoa.?
Hivi nini maana ya ndoa.
Majira zangu wananiambia mimi yawezekana s mwanaume kamili wengine wananiita muhuni.
Lakini hao hao wanaoniambia hivyo kila siku wake zao kunigongia mlango kuniambia matatzo ya waume zao.
Hao hao ambao wanajiona bora kwa vile wameoa kila siku wanaomba niwakopeshe hela ya matumizi ili wahudumie familia eti hali mbaya.
Watoto zao wanakuja kwangu niwatafutia ajira,na ninawasaidia katika mambo mengi.
Ila tu wamekuwa wanajiona bora kuliko mimi.
Ninapowaambia Ndoa sio kukurupuka!,uwa wananijibu,mwanamke uja na baraka,
Kuna mmoja niliwahi kumuambia unanishauri nioe na bado hela ya chakula nakupa mimi,alichukia mpaka leo alikata mawasiliano.
*hivi ni kweli kuoa ndo inamfanya mwanaume aitwe mwanaume?
*N kweli ukitaka ufanikiwe lazima uwe na mke?
*kuoa imeandikwa ni lazima?
nawakilisha.
Nikiwa na mke nitafanikiwa.
Hivi kuna husiano gani wa mafanikio kwa mwanamke ndani ya ndoa.?
Hivi nini maana ya ndoa.
Majira zangu wananiambia mimi yawezekana s mwanaume kamili wengine wananiita muhuni.
Lakini hao hao wanaoniambia hivyo kila siku wake zao kunigongia mlango kuniambia matatzo ya waume zao.
Hao hao ambao wanajiona bora kwa vile wameoa kila siku wanaomba niwakopeshe hela ya matumizi ili wahudumie familia eti hali mbaya.
Watoto zao wanakuja kwangu niwatafutia ajira,na ninawasaidia katika mambo mengi.
Ila tu wamekuwa wanajiona bora kuliko mimi.
Ninapowaambia Ndoa sio kukurupuka!,uwa wananijibu,mwanamke uja na baraka,
Kuna mmoja niliwahi kumuambia unanishauri nioe na bado hela ya chakula nakupa mimi,alichukia mpaka leo alikata mawasiliano.
*hivi ni kweli kuoa ndo inamfanya mwanaume aitwe mwanaume?
*N kweli ukitaka ufanikiwe lazima uwe na mke?
*kuoa imeandikwa ni lazima?
nawakilisha.