tajiriboya
Member
- Oct 31, 2019
- 15
- 38
natumain nyote wazima,leo nmeanza maisha rasmi ya KUJITEGEMEA.nna 21 yrs,nimechoka kukaa nyumban ,tuko watoto 8 na wote tunategemea baba,mzazi wa kike katangulia mbele za haki mwez uliopita.nimefika dar jana nmepata chumba nalipa 20k kwa mwez.jana usku nmelala kwenye mkeka nkaamka ucku wa manane nkapumzika kupoza maumivu ya mwili.
Leo nmetembea huku na huku bahat nzur nmepata daywaka kupandsha zege ghorofan.
nna iman ipo siku maisha yatakaa poa niwasaidie na wengne.mpenz nliyekuw naye kanidhihirishia kuw mapenz yet n ngum kushamir kwa sbb sitokuwa na uwezo wa kumtimizia mahitaj yake.mi sio king'ang'aniz nmemwambia ok unaweza kufanya utakalopenda sina maamuz mngne juu ya Hilo. sav ni 00:21 siku nyngne imeingia sijui kinafata nini.
Leo nmetembea huku na huku bahat nzur nmepata daywaka kupandsha zege ghorofan.
nna iman ipo siku maisha yatakaa poa niwasaidie na wengne.mpenz nliyekuw naye kanidhihirishia kuw mapenz yet n ngum kushamir kwa sbb sitokuwa na uwezo wa kumtimizia mahitaj yake.mi sio king'ang'aniz nmemwambia ok unaweza kufanya utakalopenda sina maamuz mngne juu ya Hilo. sav ni 00:21 siku nyngne imeingia sijui kinafata nini.