mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 811
- 1,543
Nje ya kuajiriwa naweza fanya biashara gani?Andaa valid passport na kadi ya manjano..Kwa usafiri wa basi,andaa kama 350K unafika SA.
Kuhusu pesa za kuanzia life sijui mkuu,maana inatrgemea MTU na MTU.