sijui nifanyeje kumkomboa mtanzania wa aina hii anayedanganywa kutoa kura kwa sisiemu ccm kila wakati na maisha yake hawayabadilishi....Mungu wasaidie watu wetu hawa! maisha bora kwa kila mtanzania ni kwaajili ya watu wepi sasa, walioko mjini maisha magumu, kijijini ndo usiseme.