Sio kushindwa....mmeiba mchana peupe and everybody knows...na wewe binafsi know!
Tangu kuanzishwa nchi hii hakujawahi tokea bunge likawa na 100% CCM,never!
Hiyo si demokrasia,huo ni uonevu,and you will pay dearly!
And then upo hapa kutetea Single Party state?
Yaani na kusoma kote sekondari na kufanya swali la Multiparty is Better than Single Party State na ukapata 100% ila leo kwa unafiki wa mamba umetoa mimacho unatetea single party state sababu ya China tu?
Duniani kuna nchi zaidi ya 300,kati ya zote hizo zilifeli halafu unachukua China kama mfano uliofaulu as if una probability ya 1 out of 300 ambayo ni 0.3% success rate ya wewe kufaulu?
Yaani una bet on 0.3% probability ya wewe kufaulu unaacha 99.7% ya ufaulu ya record ya democracy?yaani wewe ni maiti mbuzi wa nyama kabisa!
Tuko hapa tunaongelea kuiga upumbavu wa China wa possibility ya kufaulu ya 0.3%?Like really?
Ni maajabu sana,unatetea serikali inayoleta hizo ndege na flyover kua inapenda wananchi,then serikali hiyo hiyo inapogeuka inaua watu hao hao inayosema inawapenda wewe badala ya kua upande wa hao wananchi wanaouwawa,upo upande wa serikali hiyo inayoua!
Yaani wewe una claim unaipenda seriklia sababu inapenda wananchi kwa kuleta mandege nakadhalika,inapoua watu,wewe haupo upande wa hao wananchi wanaouwawa,upo upande wa kuitetea hiyo serikali!
Wote hampo upande wa wananchi,mpo upande wa serikali pekee yake!