pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 516
- 815
Wakuu habari za muda huu!
Tukiwa tunapokea matokeo kutoka sehemu mbalimbali ya Tanzania, ikionyesha CCM inashinda kila mahali kwa kura nyingi sana.
Mimi ni kijana nilizaliwa (1995) nilikuta mfumo wa vyama vingi vya siasa, katika somo ya Civics nimesoma kitu kimoja kinaitwa check and balance. Natafakari hapa maisha ya chama kimoja yatakuwaje.
Sina hakika kama kutakuwa na mbunge wa CCM anaweza kuikosoa serikali yake kwa utawala huu.
Ubeze usibeze upinzani una umuhimu wake katika kujenga taifa hasa katika kuibua maovu yanayofanywa na serilikali.
Naombeni mloishi miaka ya nyuma kidogo maisha ya chama kimoja yapoje nijiandae kuyapokea.
Tukiwa tunapokea matokeo kutoka sehemu mbalimbali ya Tanzania, ikionyesha CCM inashinda kila mahali kwa kura nyingi sana.
Mimi ni kijana nilizaliwa (1995) nilikuta mfumo wa vyama vingi vya siasa, katika somo ya Civics nimesoma kitu kimoja kinaitwa check and balance. Natafakari hapa maisha ya chama kimoja yatakuwaje.
Sina hakika kama kutakuwa na mbunge wa CCM anaweza kuikosoa serikali yake kwa utawala huu.
Ubeze usibeze upinzani una umuhimu wake katika kujenga taifa hasa katika kuibua maovu yanayofanywa na serilikali.
Naombeni mloishi miaka ya nyuma kidogo maisha ya chama kimoja yapoje nijiandae kuyapokea.