Meridah Tough
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 136
- 365
- Thread starter
- #61
Hapana simtaki na simuhitaji. Najua maisha niliyopitia jinsi nilivyojisikia aliponijibu hovyo hata nikimwambia kitu kwa manufaa yake ila nina hofu nisije rudi nyuma kipindi hicho na ndio maana nauliza kinadumu kwa muda gani ili nijiandae
